joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Haiwezikani 99% ya comments zote zikawa ni wapinzani, ukweli wakenya wamechoshwa na uongozi wa Jubilee.Mda si hata wapinzani watukutu watamsifia..
Tunawasubiri waingie kwy vita ya wenyewe kwa wenyewe tu[uuuuuuuHaiwezikani 99% ya comments zote zikawa ni wapinzani, ukweli wakenya wamechoshwa na uongozi wa Jubilee.
Nyinyi wakenya mda mwengine wanafiki.. Ikiuma sema nipulize..Haiwezikani 99% ya comments zote zikawa ni wapinzani, ukweli wakenya wamechoshwa na uongozi wa Jubilee.
Itakufaidiaje watu kupigana? Tumia akili!Tunawasubiri waingie kwy vita ya wenyewe kwa wenyewe tu[uuuuuuu
Itakufaidiaje watu kupigana? Tumia akili!