johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,730
- Thread starter
-
- #21
aaahahahahah kabisa tule hata picha ya samakiKama nyama hatuli ata supu tucnywe?
Teh teh teh, kwa kweli watatuharibia uzi ndio mana sijawataja.[/QUOTE
tehehe teheteh
Kama mike tee ningekuwa staa, Kama ningekuwa na mkwanja kachaa , Kama ningekuwa ni mrefu na mfupi kachaa, Iringa town ningekuwa balaa.. Nilikuw namkubal Sana hivi yuko wapi mwenye pic yake atuwekee
Soggy along alkuw mtangaz Uhuru cjui Kama bado yupoWengi tu walikuwa wanajua na sasa hawasikiki tena, kama kina SoloThang, Soggy Doggy, n.k
Daahh such time was amazing.. mziki ulikuwa na radha ambayo siipat kwa sasaKama mike tee ningekuwa staa, Kama ningekuwa na mkwanja kachaa , Kama ningekuwa ni mrefu na mfupi kachaa, Iringa town ningekuwa balaa.. Nilikuw namkubal Sana hivi yuko wapi mwenye pic yake atuwekee
Sana yaanDaahh such time was amazing.. mziki ulikuwa na radha ambayo siipat kwa sasa
ndo huyo huyo mzee wa sintobadilikando mnyaru??
alishasema fid q hawaamini kwenye kutengeneza kina kiba na platinum wawe wengi wanaona bora ashushwe mmoja mmoja awe dili ....mziki wabongo flava ni utoto tuu ukikua unaacha
hahahahha kumbe wagogo kitambo tu hawana kitu kwa bed.....Nitampenda demu mwenyewe awe mtanzania ,awe na sifa za kweli niweze jivunia.nijue wapi kazaliwa wapi katokea,ndugu zangu nyumbani nipate waeelezea.uzuri wa sura yake uendane na tabia apendwe na watu na watu sio makumi bali mamia.Awe mnyaki ,mnyalu si mgogo.
mkimpata MIKE T mwambieni afafanue hapo kwenye blue,hatukuelewa jipindi kile.