Captain Doug
Member
- Jul 24, 2015
- 60
- 20
nafagilia sana old school...enzi hizooo kipindi hakuna team za kipuuzi puzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Familia bora huyo kitambo kidogo nilimuona Kariakoo yupo kwenye business na Mshua wake mzee Mwakatundu ni moja madoni pale Iringa. Inasemekana Alipokuwa std 7 alikuwa ni kigari chake.Huyu Mike T yuko wapi?
Kumbe, jamaa kapotea mazimaFamilia bora huyo kitambo kidogo nilimuona Kariakoo yupo kwenye business na Mshua wake mzee Mwakatundu ni moja madoni pale Iringa. Inasemekana Alipokuwa std 7 alikuwa ni kigari chake.