Mike Tyson na Evander Holyfield

Mike Tyson na Evander Holyfield

Evander alipigwa zile Iron fist nyingi sana ingawa na yeye alikua anatoa kombora zake.

Ukiangalia video Evander kavimba uso Mzima. Ndio siku hiyo akadai amengatwa sikio. Tyson akaporwa taji. Kipindi hicho nafkiri Tyson alikua na msongo wa mawazo kuachwa na Robbin aliyeondoka na kila kitu alichokipigania jamaa.

Wanawake muwe na huruma kidogo. Mike Tyson leo ni mtu wa kujenga shamba la bangi kama mchicha wa pale Hai.

Projects nyingi anazo kivyake kwasasa, ila najua siku akisema ukweli hao huko wataungua
Hujui ngumi. Unadai alidai ameng'atwa sikio wakati videos zinaonesha na Tyson alikiri? Evander aliyekuwa amevimba uso ni yule unayeishi naye au yupi?

Toka kwenye sparring Evander alikuwa ana mlaza Tyson. Evander alikuwa sugu. Kaangalie mapambano ya Evander yote utaelewa. Wewe masumbwi huyafahami bwana mdogo. Unasimuliwa tu nawe unakuja taka wasimulia kaka na baba zako
 
Hujui ngumi. Unadai alidai ameng'atwa sikio wakati videos zinaonesha na Tyson alikiri? Evander aliyekuwa amevimba uso ni yule unayeishi naye au yupi?

Toka kwenye sparring Evander alikuwa ana mlaza Tyson. Evander alikuwa sugu. Kaangalie mapambano ya Evander yote utaelewa. Wewe masumbwi huyafahami bwana mdogo. Unasimuliwa tu nawe unakuja taka wasimulia kaka na baba zako
We unaongea nini,uliangalia hiyo mechi?
Usanii mtupu,
Lenox Lewis ndio alimtwanga hasa Tyson na yule jamaa Dedric nani sijui hakua maarufu ila alimdondosha Tyson Douglas Buster pia alimdondosha Tyson.
Hilo shindano na Evander ni km yale mapambano anacheza Mayweather.
Evander Holyfield alikuwepo tayari mkongwe kwenye game, na kabla ya hapo alimtanguliza huyo Dedric akabet dola mil 2 ili asome mchezo mchezo kwa kigezo kwamba Tyson akimshindwa
Huyo ndio itangazwe mechi yake.
 
Huju
We unaongea nini,uliangalia hiyo mechi?
Usanii mtupu,
Lenox Lewis ndio alimtwanga hasa Tyson na yule jamaa Dedric nani sijui hakua maarufu ila alimdondosha Tyson Douglas Buster pia alimdondosha Tyson.
Hilo shindano na Evander ni km yale mapambano anacheza Mayweather.
Evander Holyfield alikuwepo tayari mkongwe kwenye game, na kabla ya hapo alimtanguliza huyo Dedric akabet dola mil 2 ili asome mchezo mchezo kwa kigezo kwamba Tyson akimshindwa
Huyo ndio itangazwe mechi yake.
Hujui kitu. Na kipindi hicho hukuangalia umekuja simuliwa tu kijiweni. Hujui hata ngumi....unachukua kila unachukua kila unachosikia kikisemwa. Hufahamu kabisa Boxing unamsikia sikia Tyson na Evander pia. Ila hujui kitu kabisa. Ni maamuma katika ngumi.
 
Huju

Hujui kitu. Na kipindi hicho hukuangalia umekuja simuliwa tu kijiweni. Hujui hata ngumi....unachukua kila unachukua kila unachosikia kikisemwa. Hufahamu kabisa Boxing unamsikia sikia Tyson na Evander pia. Ila hujui kitu kabisa. Ni maamuma katika ngumi.
Anyway sibishani na kitu hakiingizi pesa, haya umeshinda wewe unayejua ngumi lofa we.
 
Tyson alikuwa amezoea kupiga watu round ya 1-2, hakuwa na pumzi ya kwenda round kama ya 8. hivi. Hollyfield alikuwa ni mtu si wa kupigwa kwenye round hizo na ndiyo maana alimuaibisha Tyson. Lennox Lewis pekee ndiye aliyempiga Evander na si Tyson. Tyson alikuwa hajui ngumi za kucheza round kuanzia 4 kwenda mbele. Alikuwa nacheza ngumi kwa kubahatisha
Mhhh! Umeharibu mwishoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom