So, what you're trying to say the industry decided the new comer to be on mainstream!! Remember, the guy was undisputed heavyweight champion at 20!"the industry" decided Mike tyson to be on "mainstream"...the same applies to Mayweather Jr
Ndiyo maana tumewaachia mabarubaru wenyewe. Zanzibari Karume akishakataza yakheee.heheheh ushaanza.turudi tu kwenye kiswahili maana hyo bahri siwezi ogelea.Ila kiukweli ule mchezo ni hatari.ndo maana maboksa wengi wanakuwa wanamawenge sababu ya zile ngumi.na matatizo ya kiafya pia.lakini hakuna anayelazimishwa kila mtu anaingia ulingoni kwa mapenzi yake .na pia pesa wanayopata ni nyingi mno.
somoo,karume alikuwa na sababu zake yakhee kujifunza ngumi for self defence na kwa ajili ya mazoezi sio mbayaa,hata ngumi za ridhaa pia sioni kama zinashida zile ambazo wanavaa helmetNdiyo maana tumewaachia mabarubaru wenyewe. Zanzibari Karume akishakataza yakheee.
Na Karume mwenyewe ikuwa boxer. Aliona mbali kwamba huu mchezo utaharibu watu.
Sababu za Karume zipi Ami yangu?somoo,karume alikuwa na sababu zake yakhee kujifunza ngumi for self defence na kwa ajili ya mazoezi sio mbayaa,hata ngumi za ridhaa pia sioni kama zinashida zile ambazo wanavaa helmet
yakhe siwezi kuwa na uhakika sana sababu siwezi jua dhamira ya nafsi yakeSababu za Karume zipi Ami yangu?
Kumbe wasema yaso urari kwa wahaka wa tafakuri?yakhe siwezi kuwa na uhakika sana sababu siwezi jua dhamira ya nafsi yake
Kweli mkuu, ila mpaka leo najiuliza. Muhammad Ali aliweza vipi kumpiga George Foreman?
Mike Tyson hakuwa bondia bora. Alikuwa overrated. Management ya Mike Tyson walikuwa wanamkutanisha na mabondia dhaifu . Kabla ya kumkutanisha na bondia yoyote, management ya Mike Tyson ikiongozwa na Promoter wake Don King, chini ya jopo la wataalamu walio bobea katika mchezo wa boxing, walihakikisha kwanza wanajiridhisha pasi na shaka yoyote ile kwamba Mike Tyson atampiga bondia watakae mkutanisha nae. Ndio maana kwa kipindi kirefu sana management ya Mike Tyson ilikuwa inafanya kila namna, kuhakikisha bondia wao, hakutani na mabondia wakali kama Evander Holyfield, Lennox Lewis etc.
Unaweza kuona Mike alianza kupewa vipigo mfululizo tangu atemane na uongozi wake. Ukimuita Mike Tyson bingwa " Joe Frazier" George Foreman utawaita nani ? Jaribu kutafuta cd za mapambano ya watu kama George Foreman, Joe Frazier & Muhammad Ali, uone mabondia wa ukweli.
R.I.P Muhammad Ali
hapana sheikh wangu nachelea tu kunena yasio mujarabu,kwani ingawa ninaimani kilichofanyika hakikuwa sawa,siwezi jua huenda nia ilikuwa njema kabisa.Kumbe wasema yaso urari kwa wahaka wa tafakuri?
Basi miye naina vema. Maana katuindokea ubarubaru visiwani kwetu.hapana sheikh wangu nachelea tu kunena yasio mujarabu,kwani ingawa ninaimani kilichofanyika hakikuwa sawa,siwezi jua huenda nia ilikuwa njema kabisa.
shehe sawa alifaulu katika hilo,lakini akafeli kuwaunganisha wazanji kuwa kitu kimojaBasi miye naina vema. Maana katuindokea ubarubaru visiwani kwetu.
Habari hizo mwisho Chumbe.
Yule naye alikuwa mbeberu ambaye hajadoma, hivo hata mbinu za juongoza hakuzijua. Kachafua mambo mengi sana. Simtetei kwa yote. Ila hapa kwenye masumbwi amenifurahisha.shehe sawa alifaulu katika hilo,lakini akafeli kuwaunganisha wazanji kuwa kitu kimoja
unajua hata ukienda kwenye mapambano ya masumbwi ya hapa nyumbani ukiaangalia mashabiki wanaokwenda kuyatazama wengi wao wamekaa kusharishari sana,kama mabedui vile,ingawa si woteYule naye alikuwa mbeberu ambaye hajadoma, hivo hata mbinu za juongoza hakuzijua. Kachafua mambo mengi sana. Simtetei kwa yote. Ila hapa kwenye masumbwi amenifurahisha.
Ila kama iki yizemwa hapo juu, inawezekana kuruhusu hata ubarubaru kwa wanaoutaka, almuradi wana vifaa vya kujikinga.
Kuna binadamu wengine bado wana mbongo za sokwe na wanafurahia michezo hii ya kihayawani.
Hahaha, umenichekesha sana.unajua hata ukienda kwenye mapambano ya masumbwi ya hapa nyumbani ukiaangalia mashabiki wanaokwenda kuyatazama wengi wao wamekaa kusharishari sana,kama mabedui vile,ingawa si wote
kuna huyu bondia wanamwita mashari,huku mtaani anajulikana sana kwa ukabaji na uporaji.lakini ndo moja ya mabondia tegemezi nchini,nafikiri angepata mentor kama Cus D'Amato alivyokuwa kwa mike tyson angalau angetulia kidogo,kuna vitu vingi sana tunafanya sababu ya matatizo ya kisaikolojia tulonayo.bahti mbaya huwa hatuligundui hiloHahaha, umenichekesha sana.
Umenikumbusha mtu kama Emmanuel Mlundwa yule.