kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,829
Wali mkwepesha sana Kwa evander na lenox mpaka wakawa wanatoa fidia baada ya hao jamaa kwenda mahakamani lakini mwishoni ikabidi awakabili na udhaifu wake ukawa exposed hata leo mywether tunge question uwezo wake asingemkabili Mani naungana na mtoa mada
Wakati Tyson anachukua WBC mwaka 1986 na kuwa bingwa mdogo zaidi kuchukua mkanda huo na 1987, akaongezea WBA na IBF kipindi hicho Lewis anapigana ngumi za amature huko Olympic na huyo Evander alikuwa hata hajafikia kupigana Heavy weight , Tyson katika ubora wake 1986 -1991 hao wote wasingeweza hata kumaliza round ya kwanza dhidi ya Tyson ,
Kilichomshusha Tyson ni ulimbukeni wa hela za utotoni na kukosa discipline ya maisha ,ila kwa mnaojua historia ya maisha ya utotoni ya Mike hamuwezi kushangazwa na hili