Mikel Arteta anaenda kuwa kocha bora wa nyakati zote. Arsenal imekuwa moto wa kuotea mbali

Mikel Arteta anaenda kuwa kocha bora wa nyakati zote. Arsenal imekuwa moto wa kuotea mbali

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kocha huyu kutengeneza upya timu iliyokuwa imeshapoteana.

Mpaka wakati huu tayari ameshinda michezo minne mfululizo katika ligi ya Uingereza (EPL) na inatarajiwa kwamba katika miaka ijayo atabeba makombe yote ambayo timu yake itashiriki.

Timu mbalimbali zimeshakuwa na wasiwasi mkubwa na kuingiwa na kiwewe pale ratiba inapoonesha wanakaribia kucheza na kikosi hiki kinachoongozwa na mwalimu huyu machachari.
 
Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kocha huyu kutengeneza upya timu iliyokuwa imeshapoteana.

Mpaka wakati huu tayari ameshinda michezo minne mfululizo katika ligi ya Uingereza (epl) na inatarajiwa kwamba katika miaka ijayo atabeba makombe yote ambayo timu yake itashiriki.

Timu mbalimbali zimeshakuwa na wasiwasi mkubwa na kuingiwa na kiwewe pale ratiba inapoonesha wanakaribia kucheza na kikosi hiki kinachoongozwa na mwalimu huyu machachari.
Lete picha mkuu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Lete picha mkuu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
images.jpeg
 
Nikwambie tu liverpool ipo nafasi ya 8 arsenal nafasi ya kwanza lakini Guardiola anaiwazia liverpool kuliko arsenal wazungu wanasema.

Class is permanent and form is temporary arsenal labda ukinambia kuwania UEFA champions position sawa ila kwenye kuchukua league bado sana wanahitaji muda hata sosha alianzaga hivi hivi mwisho wa siku hakuna alichoambulia.
 
Nikwambie tu liverpool ipo nafasi ya 8 arsenal nafasi ya kwanza lakini Guardiola anaiwazia liverpool kuliko arsenal wazungu wanasema
Class is permanent and form is temporary arsenal labda ukinambia kuwania UEFA champions position sawa ila kwenye kuchukua league bado sana wanahitaji muda hata sosha alianzaga hivi hivi mwisho wa siku hakuna alichoambulia.
Sosha ndio umfanabishe na Arteta?? Liverpool hawana class yoyote msimu huu japo kocha wao yupo vizuri.

Mimi naona anayeweza kumpa shughuli pevu Arteta ni Guardiola peke yake kwa sasa.
 
Mleta uzi utakuwa mgeni na masuala ya mpira, kwa taarifa yako siku zote Arsenal inatangulia kwa baiskeli ya miti na inapo anzaga kudondokea pua huwa aibu tupu!
 
Nikwambie tu liverpool ipo nafasi ya 8 arsenal nafasi ya kwanza lakini Guardiola anaiwazia liverpool kuliko arsenal wazungu wanasema
Class is permanent and form is temporary arsenal labda ukinambia kuwania UEFA champions position sawa ila kwenye kuchukua league bado sana wanahitaji muda hata sosha alianzaga hivi hivi mwisho wa siku hakuna alichoambulia.
Umeongea point sana waache wajitekenyee afu wachekeeee wenyeweee
 
Back
Top Bottom