DaH[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu Uzi utakuwa maarufu Sana mda si mrefu mtakapoanza kufungwa
Liverpool hawana nn_?_?? AchA ushamba LiverpooL kinachomsumbua ni eneo La midfield bhas wana miss kiungo myumbuLiFu kama thiago sasa wewe kazana2 kukariri arsenaL akimaLiza top 4 mniite mbwaSosha ndio umfanabishe na arteta?? Liverpool hawana class yoyote msimu huu japo kocha wao yupo vizuri.
Mimi naona anayeweza kumpa shughuli pevu arteta ni guardiola peke yake kwa sasa.
Dunia gani hiyo?Mdogo mdogo tutafika na kuishangaza dunia
Ina makombe mangapi ya Ulaya?Arsenal ni timu kubwa ulaya na dunia kwa ujumla.
Bado mapema sana, akikutana na timu kubwa ndo tutajua panapovujaNdivyo unavyoweza kusema baada ya kocha huyu kutengeneza upya timu iliyokuwa imeshapoteana.
Mpaka wakati huu tayari ameshinda michezo minne mfululizo katika ligi ya Uingereza (epl) na inatarajiwa kwamba katika miaka ijayo atabeba makombe yote ambayo timu yake itashiriki.
Timu mbalimbali zimeshakuwa na wasiwasi mkubwa na kuingiwa na kiwewe pale ratiba inapoonesha wanakaribia kucheza na kikosi hiki kinachoongozwa na mwalimu huyu machachari.
Kabisa kila mtu ashinde zake tukutane mwisho wa msimu tuweke hesabu mezani.Hakika, tunasonga one game at a time.
Dunia yako wewe na wenzako mnaoongozwa na Arsenal.Dunia gani hiyo?
Ile sio NBC premier league hakuna mtu alitarajia kama man United atamfunga liverpool ila imetokea hvyo hata arsenal akiweza kuchukua hata point kutoka kwa top five team basi matumaini yatakuwepo ila huu wa sasa ni upepo tu.Sosha ndio umfanabishe na arteta?? Liverpool hawana class yoyote msimu huu japo kocha wao yupo vizuri.
Mimi naona anayeweza kumpa shughuli pevu arteta ni guardiola peke yake kwa sasa.
SawaNdivyo unavyoweza kusema baada ya kocha huyu kutengeneza upya timu iliyokuwa imeshapoteana.
Mpaka wakati huu tayari ameshinda michezo minne mfululizo katika ligi ya Uingereza (epl) na inatarajiwa kwamba katika miaka ijayo atabeba makombe yote ambayo timu yake itashiriki.
Timu mbalimbali zimeshakuwa na wasiwasi mkubwa na kuingiwa na kiwewe pale ratiba inapoonesha wanakaribia kucheza na kikosi hiki kinachoongozwa na mwalimu huyu machachari.
Umenikumbusha SoshaNdivyo unavyoweza kusema baada ya kocha huyu kutengeneza upya timu iliyokuwa imeshapoteana.
Mpaka wakati huu tayari ameshinda michezo minne mfululizo katika ligi ya Uingereza (epl) na inatarajiwa kwamba katika miaka ijayo atabeba makombe yote ambayo timu yake itashiriki.
Timu mbalimbali zimeshakuwa na wasiwasi mkubwa na kuingiwa na kiwewe pale ratiba inapoonesha wanakaribia kucheza na kikosi hiki kinachoongozwa na mwalimu huyu machachari.
Kwa hiyo na wewe unasumbuliwa na Arsenal? Hebu kafanye shughuli nyingine mpaka jumapili ijayo utakuwa na majibu sahihi.Arsenal wanapendeza ila nasubiri waanze kukutana na Chelsea, Spurz, Man Utd, Wolves, Leeds, Westham.. zile timu korofi.
Baada ya hapo waje kucheza na Liverpool na Man City, hapo ndio nitapata picha yao ya msimu huu.
Nimeanza kuangalia mpira wa ulaya mwaka 1996. Arsenal imerudi kuwa timu makini.Mleta uzi utakuwa mgeni na masuala ya mpira, kwa taarifa yako siku zote arsenal inatangulia kwa baiskeli ya miti na inapo anzaga kudondokea pua huwa aibu tupu!
Muda ni hakimu, tutarudi hapa mwezi May 2023.Arsenal huwa hawajifunzi. Wakimuona Liverpool kule chini, wanajiona champions. Ukiwa na mtoto wa kike unataka kumuoza, mpe mpenzi wa Arsenal, ni wavumilivu sana na wana matumaini.
Ni kweli, kuanzia Jumapili ijayo wanaanza na man utd. Ninaamini msimu huu watafanikiwa kufunga timu kubwa pia.Arsenal wanapendeza ila nasubiri waanze kukutana na Chelsea, Spurz, Man Utd, Wolves, Leeds, Westham.. zile timu korofi.
Baada ya hapo waje kucheza na Liverpool na Man City, hapo ndio nitapata picha yao ya msimu huu.
Liverpool wameshapoteza window ya mafanikio.. wanarudi walikotoka miaka kadhaa nyuma.Liverpool hawana nn_?_?? AchA ushamba LiverpooL kinachomsumbua ni eneo La midfield bhas wana miss kiungo myumbuLiFu kama thiago sasa wewe kazana2 kukariri arsenaL akimaLiza top 4 mniite mbwa
Inalo moja la uefa na mengi sana ya Uingereza (ambayo ipo ulaya).Ina makombe mangapi ya Ulaya?
Arsenal wameimarika japo ni kweli tunaendelea kusubiri matokeo yao kwenye mechi kubwa.Ile sio NBC premier league hakuna mtu alitarajia kama man United atamfunga liverpool ila imetokea hvyo hata arsenal akiweza kuchukua hata point kutoka kwa top five team basi matumaini yatakuwepo ila huu wa sasa ni upepo tu.
Ilichukua mwaka gani hilo la Uefa?Inalo moja la uefa na mengi sana ya Uingereza (ambayo ipo ulaya).