Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata zilivyoletwa kwa makundi ya waasi Kama D.R Conco, Rwanda, Burundi, C.A.R, na kwa wavuta bangi wa Sierra Leone waliowaua watu wasio na hatia.Ni kweli usemavyo ila inasikitisha sana unapowaona IS wakiitumia hiyo silaha kuua watu wasio na hatia
Hawa wetu wanatumia SMG mpaka vitako vilishapasuka.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yup ni hizohizo hawana silaha mpya kenge hawa toka tunazaliwa mpaka tunazeeka tuna ona wanabeba hizi AK 47
Huyu ni Mjomba aiseeInawezekana akawa ndugu yako maana hayo majina kama yamefanana
Angekuwa shujaaa mzuri wakati anakaribia kufariki angeomba mashine yake ya AK47 wampige nayo ili awe shujaaagun don't kill people.... people kill people
Kabisa mkuuKwa mtazamo wangu huyu hana makosa, wenye makosa ni wanaotumia silaha kuua watu!!
NDIO WAJERUMANI WALIVYOKWAMBIA HIVYOOO...??Kwanza hiyo AK 47 ni Copy and Paste ya Silaha ya Kijerumani iliyokuwa inaitwa StG 44.