Mikoa 10 Inayoongoza kwa Uzalishaji wa Chakula Tanzania

dodoma unaongoza kwa ufuta tanzania? mkuu hii takwimu ya wapi
Yawezekana ikawa sio namba 1 lakini kwenye top 5 kati ya mikoa 31 ya Tanzania ipo.Nipe takwimu zako ambazo zinaitoa Dodoma kwenye top list ya uzalishaji wa Ufuta pamoja na mazao mengine niliyoyataja mfano Alizeti,Tende,Rosella,Zabibu,Ubuyu,Mbaazi,Ulezi,Uwele,Mtama,Karanga,Njugu n.k.
 
Hoja yangu ni kua dodoma sio mkoa unaoongoza kwa zao la ufuta, kama ulivosema
 
Hoja yangu ni kua dodoma sio mkoa unaoongoza kwa zao la ufuta, kama ulivosema
Hoja ya mwenzako mwanzo ilikua Dodoma ni mkoa wenye ukame+jangwa na hakuna kilimo ...sasa amepata ukweli halisi kutoka "field"
 
Reactions: Lax
😂Mkuu Njombe ni mzalishaji namba moja wa viazi Tanzania
Kwanza huyu kama anongelea parachichi basi kaanza kuishi njombe juzi, hakuna sehemu inazalisha viazi kama njombe Tanzania nzima, Samaki ilikuwa iringa yote hiyo....
 
Hoja ya mwenzako mwanzo ilikua Dodoma ni mkoa wenye ukame+jangwa na hakuna kilimo ...sasa amepata ukweli halisi kutoka "field"
NAtumai atakua amekuelewa mkuu
 
Kwanza huyu kama anongelea parachichi basi kaanza kuishi njombe juzi, hakuna sehemu inazalisha viazi kama njombe Tanzania nzima, Samaki ilikuwa iringa yote hiyo....
Ni kweli mkuu unakuta mtu hajatalii Njombe kabisa, ila Iringa pia ni mzalishaji wa Nyanya kwa wingi Tanzania
 
Ni kweli mkuu unakuta mtu hajatalii Njombe kabisa, ila Iringa pia ni mzalishaji wa Nyanya kwa wingi Tanzania
Yaaah ilula nyanya ni nyingi sana, njombe miaka ya hivi karibuni ilibyogawiwa kutoka iringa ndio watu wanakata miti wanapanda parachichi....
 
Yaaah ilula nyanya ni nyingi sana, njombe miaka ya hivi karibuni ilibyogawiwa kutoka iringa ndio watu wanakata miti wanapanda parachichi....
Ni kweli mkuu pia nadhani mazingira ya Njombe ndio yanasaidia upatikanaji wa hayo mazao kwa wingi
 
Pamoja na watu kupondea Dodoma ila ni Moja ya Mikoa muhimu Kwa uzalishaji hapa Tanzania na imeonesha wazi stori za watu waliokaririshwa ujinga wa vijiweni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…