ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mikoa 10 ambayo Wananchi wake Wanaotajwa kuwa na Mapato makubwa na hivyo Wana Maendeleo kushinda maeneo mengine ya Nchi.
Takwimu hizi ni wastani wa Mapato ya mtu na yako Juu ya Wastani wa Nchi.(Figures in Millions Tanzania Shillings).
Orodha ya Top 10 za Mikoa yenye watu wenye Kipato Kikubwa (Per Capita GDP )mwa hesabu za mwaka 2023 Iko hivi ;
1. Dar =5.7
2. Iringa =4.7
3. Mbeya =4.4
4. Kilimanjaro =4.2
5. Ruvuma =3.7
6. Njombe =3.67
7. Arusha =3.66
8. Mwanza =3.5
9. Manyara =3.3
10. Tanga =3.2
My Take
1. Arusha inaanza kuwa zilipendwa.Manyara na Ruvuma are the Regions to Watch.
2. Credits : NBS,Tanzania in Figures,2023
View: https://www.instagram.com/p/DHI7fgJoeJt/?igsh=dmVkMTFyN3V4aHJy
Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi
Pia Soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Takwimu hizi ni wastani wa Mapato ya mtu na yako Juu ya Wastani wa Nchi.(Figures in Millions Tanzania Shillings).
Orodha ya Top 10 za Mikoa yenye watu wenye Kipato Kikubwa (Per Capita GDP )mwa hesabu za mwaka 2023 Iko hivi ;
1. Dar =5.7
2. Iringa =4.7
3. Mbeya =4.4
4. Kilimanjaro =4.2
5. Ruvuma =3.7
6. Njombe =3.67
7. Arusha =3.66
8. Mwanza =3.5
9. Manyara =3.3
10. Tanga =3.2
My Take
1. Arusha inaanza kuwa zilipendwa.Manyara na Ruvuma are the Regions to Watch.
2. Credits : NBS,Tanzania in Figures,2023
View: https://www.instagram.com/p/DHI7fgJoeJt/?igsh=dmVkMTFyN3V4aHJy
Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi
Pia Soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?