The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,773
- 1,660
πππ Punguza kuteseka na makasiriko utakufa siku sio zakoNajua vyanzo vya ufukara na umaskini wa watu wa Kagera tuu ππ
Bado hujasema Hadi useme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ Punguza kuteseka na makasiriko utakufa siku sio zakoNajua vyanzo vya ufukara na umaskini wa watu wa Kagera tuu ππ
Bado hujasema Hadi useme
Huwa nafurahi sana nikiona Kagera ni maskini πππππ Punguza kuteseka na makasiriko utakufa siku sio zako
ππ Huo ni msongo wa mawazo unahitaji tiba ndugu π€£π€£π€£π€£Huwa nafurahi sana nikiona Kagera ni maskini ππ
Huwa nafurahi sana nikiona Kagera ni maskini ππ
Mirembe iliyoboroshwa ipo Kwa Ajili ya watu kama wewe,wahi kabla ya Hali haijawa mbaya.ππ Huo ni msongo wa mawazo unahitaji tiba ndugu π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£π€£ππUkiona popotee CCM Ina nguvu jua haya
Makazi duni mfano Dodoma,pwani nk
Elimu duni mfano Tanga,tabora,mtwara,Lindi nk
Uchawi mfano Tanga,rukwa nk
Umasikini wa kipato nk kama takwimu zilivyo!!
Hiyo ni mikoa imekuwa chini ya CCM Kwa zaidi ya 60 years!!! Wabunge woooote CCM,madiwan woooote CCM,nk
ExcusesSimiyu ipo hapo sababu ardhi yao ni mbaya kwa kilimo...bila hivyo wanyantuzu wangekuwa mbali
Sure mkuu, kanda ya ziwa mkoa huo ndio umechafua sheet...tuwahamishie pwani hahahaaExcuses
asilimia 80% wachaga wame invest nje ya mkoa wao ila kwao kuko poa kimzunguko wa kiuchumi.First of all si mtu wa huko lakin nimewahi kufanya kazi huko at one time. Hiyo case ya kagera tu, mikoa mingine ina different factors
Is not an excuse it is a reality, jamii ambayo inajivunia mafanikio lakin mafanikio hayo wame invest kwenye mikoa mingine na si kwao⦠lazima nyumbani padode period
IseeKwa Mujibu wa Uchambuzi kutoka Takwimu za Pato la Kila Mtu Kwa Kila mkoa Kwa bei za mwaka 2023,Mkoa wa Kagera na Dodoma imetajwa kama Mikoa maskini zaidi Tanzania ikishika namba 2 na namba 5 mtawalia.
Uchambuzi wa Takwimu zilizotolewa na NBS kwenye Chapisho lao la Tanzania in Figures 2023 unabainisha wastani wa kipato Cha Mtanzania Kwa mwaka (Per Capita Income) kuwa ni Shilingi Milioni 3.055.
Hata hivyo Kuna Mikoa ipatayo 15 ambayo Ina wastani wa kipato Cha mtu wa Chini kuliko Wastani wa Nchi wa Shilingi Milioni 3.
Wastani wa kipato Cha mtu inapatikana Kwa kuchukua Jumla ya Pato la Mkoa gawanya na idadi ya watu kwenye Mkoa husika. Kiufupi inakuwa ,
Regional Per Capita Income=Regional GDP/Population
Pamoja na kwamba Mikoa ipo 15 ila Mikoa 10 ndio Ina Hali mbaya zaidi ya kipato Kwa Watu wake na ndio nitaiweka kwenye orodha.
Mikoa hiyo nayoitambua kama Yenye watu Maskini Zaidi Tanzania kulingana na kipato ni ifuatayo; Figures are in Millions Tanzania Shillings)
1.Simiyu =1.54
2.Kagera =1.58
3.Singida =1.64
4.Pwani =1.81
5.Dodoma =1.89
6.Tabora =1.95
7.Kigoma =2.0
8.Katavi =2.1
9.Songwe =2.4
10.Rukwa =2.5
My Take
Mchawi ni idadi kubwa ya kuzaliana vs uwezo wa uzalishaji.
Pia soma Ni aibu kwa Dodoma na Kagera kuwa kwenye list ya mikoa 10 maskini zaidi Tanzania
View attachment 3060995
Soma zaidi hapa Mikoa 10 ya Tanzania Ambayo Wakazi Wake Wana Maendeleo na Kipato Kikubwa.
Angalizo
β’Takwimu hizi sio rasmi Bali ni abstract tuu ya kutoa taswira ya Jumla ila sio Uchambuzi wa kina.
β’Takwimu rasmi za marejeo ni zile zitakazotolewa na Mamlaka husika kama NBS,BoT,ESRF,FinScope nk.
Nashangaa sana ,hawa jamaa wengi wao ni big brains hilo halina ubishiHuu mkoa wa Kagera si inasemekana una wasomi wengi sana tena maprofesa?
Namna gani tena pale Ishomile wapo top 3 ya mikoa masikini zaidi Tz
Ila kupaendeleza kwao kiuchumi wanafeli sanaNashangaa sana ,hawa jamaa wengi wao ni big brains hilo halina ubishi