Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?

Ukiona popotee CCM Ina nguvu jua haya
Makazi duni mfano Dodoma,pwani nk
Elimu duni mfano Tanga,tabora,mtwara,Lindi nk
Uchawi mfano Tanga,rukwa nk
Umasikini wa kipato nk kama takwimu zilivyo!!
Hiyo ni mikoa imekuwa chini ya CCM Kwa zaidi ya 60 years!!! Wabunge woooote CCM,madiwan woooote CCM,nk
 
Sio kwa ubaya nilikuwa sijawai fika kagera aisee nimeshangaaa sana. Kumbe huu mkoa ndio upo hivyo kiasi hiki nahisi huu ndio mkoa unaongoza kwa njaaa duniani.

Serikali inatakiwa kufungua huu mkoa kwa namna yeyote ile huku hakufai kufafuta maisha hata kidogo

Unaweza ukapauka sana.
 
asilimia 80% wachaga wame invest nje ya mkoa wao ila kwao kuko poa kimzunguko wa kiuchumi.

sema jingine
 
A
Isee
 
Hatujuwi kama kuna ukwell lakini kwa dodoma nhnayoijuwa naona kama kuna uongo hapo. Ila siwezi bisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…