Uchaguzi 2020 Mikoa ambayo panapo majaliwa, Lissu ataongoza kwa kupata kura nyingi

Uchaguzi 2020 Mikoa ambayo panapo majaliwa, Lissu ataongoza kwa kupata kura nyingi

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1. Dar-es-Salaam (anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2. Arusha(75-80%)
3. Singida(65-75%)
4. Kilimanjaro(70-80%)
5. Mwanza(55-65%)
6. Mbeya(75-80)
7. Mara(65-75%)

Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1. Dodoma(40-50%)
2. Geita/Chato(40-45)

Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.

All in all, Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.

Note: Membe akiimuunga mkono Lissu ,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.

Huu ni utabiri wangu, tusubiri wakati ufike.

Vigezo:
1. Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.

2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa Watanzania wengi hasa vijana.

3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
 
Umesahau Kagera, Songwe , Rukwa na Katavi pamoja na Iringa.

watu wa kagera tangu Magufuli alivyowatukana kwenye tetemeko na kukataa kupokea maombi ya mama Kabendera hadi akafariki mama wa watu tena jamaa akamkatalia mtoto wake kwenda kumzika mama yake, hawana hamu na Magufuli.

Kuna Ruvuma na njombe Pia mkuu.
 
Umesahau Kagera, Songwe , Rukwa na Katavi pamoja na Iringa.

watu wa lagers tangu Magufuli alivyowatukana kwenye tetemeko na kukataa kupokea maombi ya mama Kabendera hadi akafariki mama wa watu tena jamaa akamkatalia mtoto wake kwenda kumzika mama yake, hawana hamu na Magufuli.

Kuna Ruvuma na njombe Pia mkuu.
Magu ana hali mbaya!!
 
Ungesema ataongoza
Mbeya mjini
Mwanza mjini
Arusha mjini
Moshi mjini. Sio mkoa mzima
 
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2Arusha(75-80%)....
Huyu hapa polepole akithibitisha
 

Attachments

  • Apandacho mtu ndicho atakachovuna ( 268 X 480 ).mp4
    370.1 KB
Back
Top Bottom