Uchaguzi 2020 Mikoa ambayo panapo majaliwa, Lissu ataongoza kwa kupata kura nyingi

Uchaguzi 2020 Mikoa ambayo panapo majaliwa, Lissu ataongoza kwa kupata kura nyingi

Serikali ya awamu ya tano Imeboronga sana na kwapa wananchi sababu ya kuimwaga chini.
 
Sawa mkuu

LISSU ataongoza kura mikoa yoooote hapa TZ na ataongoza kwa 90%

Ni yeyeee

Haya ni maoni tu, anaweza asiongoze popote kulipotajwa kwenye maoni haya, ila mgombea wa ccm hata ashinde vipi hawezi kufika 60%, tofauti kabisa na matakwa ya ccm kuwa watashinda kwa 90%.
 
Haya ni maoni tu, anaweza asiongoze popote kulipotajwa kwenye maoni haya, ila mgombea wa ccm hata ashinde vipi hawezi kufika 60%, tofauti kabisa na matakwa ya ccm kuwa watashinda kwa 90%.
Mkuu hawa watu wa ni yeyee hawataki kabisa kuambiwa ukweli ngoja tuendelee kuwafariji ikiwa ukweli moyoni wanaujua

Lissu ni yeyeee atashindaaa kwa aslimia 100
 
Back
Top Bottom