Yaah! wale wenye vyeti feki hawampendi kabisa JPM.Kura za wafanyakazi wote wa serikali waliopo Dodoma na ndugu zao watampa kura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaah! wale wenye vyeti feki hawampendi kabisa JPM.Kura za wafanyakazi wote wa serikali waliopo Dodoma na ndugu zao watampa kura.
Mkuu hawa watu wa ni yeyee hawataki kabisa kuambiwa ukweli ngoja tuendelee kuwafariji ikiwa ukweli moyoni wanaujua
Lissu ni yeyeee atashindaaa kwa aslimia 100
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)
Mkoa ambao anaweza kupata kura chache ni huu:
1.Dodoma(40-50%)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Lisu atashinda tu si atalindiwa kura na mabeberuHakuna mahali popote mtu anaweza kushinda kwa asilimia 100 acha kupanick tafadhali. Ukiona mahali kiongozi anashinda kwa 100%, fuatilia vizuri lazima ukute kuna hila. Na kama kashinda bila hila, ujue anaoongoza maiti hai.
Yaah hasa kwa kuwa mwilini mwake kunazunguka damu ya wakenya waliomuokoa maisha yake.Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)
Mkoa ambao anaweza kupata kura chache ni huu:
1.Dodoma(40-50%)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Na hivi sasa polisi tunasema sasa basi!Huyu hapa polepole akithibitisha
Huko kuna elements za ukabila/ukanda ila bado hali inaweza kuwa tofauti maana watanzania sio watu wa kujali ukabila.Mkuu hiyo namba 5 unamaanisha Mwanza hii hii ya Kanda ya ziwa au?
Binafsi naheshimu utabiri au ubashiri wako. Sina pingamizi na mawazo ya mtu na nayaheshimu sana, ILA binafsi pia naamini kuwa suala la Lissu kupata kura huko au kuzikosa inategemea mambo (factors na facts) nyingi sana ikiwa ni pamoja na uzito wa political base yake na ya CHADEMA kwenye hiyo mikoa, nguvu ya vyama vingine kwenye hayo maeneo, mbinu zitakazo tumika wakati wa zoezi zima la uchaguzi (hasa kuanzia kwenye uteuzi wa NEC, kampeni, kupiga kura, kuhesabu kura, kujumlisha kura kwenye ngazi ya majimbo na kwenye ngazi ya Taifa), huo ndio mchakato muhimu wa kumpata MSHINDI kwemye uchaguzi alipo Lissu, yaani kwenye ngazi ya Urais. Vinginevyo, tusubiri mambo yaanze kuanzia hapo 26/27 AGOSTI, 2020 na kuendelea hadi 26 OKTOBA, 2020. Subira huvuta heri au siyo jameni?!Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)
Mkoa ambao anaweza kupata kura chache ni huu:
1.Dodoma(40-50%)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Unatumia kichwa kufikiri au? Hapa Mwanza Lisu atapata 10% tu. Nayo ni ya wajinga wajingaKwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)
Mkoa ambao anaweza kupata kura chache ni huu:
1.Dodoma(40-50%)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Kama spunda nae alisema alishinda akaibiwa kura sababu pole alizopewa zilikuwa nyingi kuliko kura!Matokeo yakitangazwa mje pia
MUNGU ambariki Sana Mheshimiwa TUNDU LISSU Katika Jina la Yesu !!!!!!!!Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)
Mkoa ambao anaweza kupata kura chache ni huu:
1.Dodoma(40-50%)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Kwani wewe unalichukia kabila la baba yako kwa sababu alimpa mimba mama yako?!Hiyo chuki kwa wachaga itakuwa walimpa mama yako mimba ya mapacha
Utamchagua wew na mumeoWachagga hawawezi kumchagua Lissu!
Pamoja na hayo, KURA NI SIRI YA MPIGA KURA MLE KIZIMBANI!Huu no mda wa watz kuamakini sisi tuliopata elimu ni mda kuwaelekeza wale ambao wanadanganywa
Hahaha you guys you are not serious. Eti Lissu awe Rais wa JMT? labda mfumo wa nchi hii uwe umeenda wote mbinguni!! He will never ever be President of this country! May be after 50 years to come sisi wote wananchi wazalendo tuwe tumekufa hatuwezi mpa nchi mtu ovyo ovyo kama Lissu hata Chadema in general.Magu mda wake ushaisha, binafsi siwezi kupigia kura magu hata nikiionyeshewa bostala usoni kama Nape siwezi kumpa kura huyu mzee.
Kumpa kura Magu ni kutaka watoto vizazi vya mbele vije kuteseka bila hatia kwa ujinga wangu