Uchaguzi 2020 Mikoa ambayo panapo majaliwa, Lissu ataongoza kwa kupata kura nyingi

Uchaguzi 2020 Mikoa ambayo panapo majaliwa, Lissu ataongoza kwa kupata kura nyingi

Kinacho muangusha Lissu hana sera kutushawishi yani ni anaongea upuuzi tu...!

Mwambie akachukue sera kwa nyalandu ili angalau tumfikirie hata kama hatutompa nchi lakini at least atoe chang'amoto ya ukweli

Il kwasasa bado hata mashindano hayaja mamba!
 
Ndio maana nikasema sekta/ikihuishwa (PPP) binafsi ikingaliwa kwa jicho la tatu ndio mkombozi wa graduates.
Wakati tunasubiri ihuishwe na kuangaliwa kwa jicho la tatu vijana wanazidi kupata tabu. CCM ipumzishwe labda hawa wengine watakua na uchungu na hawa vijana.
 
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)

Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1.Dodoma(40-50%)
2.Geita/Chato(40-45)

Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.

All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.

Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.

Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.

Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
No mbeya ume underestimate ni 80-90
 
Unawaambia wanafunzi wa primary usijesema unatwambia ss
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)

Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1.Dodoma(40-50%)
2.Geita/Chato(40-45)

Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.

All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.

Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.

Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.

Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
 
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)

Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1.Dodoma(40-50%)
2.Geita/Chato(40-45)

Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.

All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.

Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.

Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.

Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
unajkuna matako baada ya kukalia upupu,, subirini oct 2020 ntaelewa tu na hesabu zenu
 
Ndugu SS, nitaweka kumbuku hii article yako, na nitakuhakikishia kuwa wewe siblolote wala chochote, and u r a total Dreamer. Ndoto zako ni za mchana.

T.Lissu ni uongo hawezi oata hizo kura hata kwa uchawi wa kichaga
 
tufunge na kuomba kwa kweli napenda sana kuona taifa ambalo haki itapendwana kutendwa na viongozi hadi raia
Huu uongozi wa kutishana siutaki kabisa
 
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)

Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1.Dodoma(40-50%)
2.Geita/Chato(40-45)

Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.

All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.

Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.

Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.

Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Amen.
 
Wakati tunasubiri ihuishwe na kuangaliwa kwa jicho la tatu vijana wanazidi kupata tabu. CCM ipumzishwe labda hawa wengine watakua na uchungu na hawa vijana.
Kuipumzisha sio suluhisho, sululu ni sisi kushauri inavyofaa iwe.
Tunaweza kuipumzisha hali ikawa mbaya zaidi, sasa hivi at least kuna hatua zinfanyika hivyo hatuna budi kuvuka mtoni kwanza.
 
Iringa nako upinzani una nguvu sana. Tangu 1995 kina Kibasa na Chiku Abwao enzi hizo na NCCR yao waliwafungua sana wahehe kujua ubaya wa CCM.
 
Back
Top Bottom