Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wajinga.Magu ana hali mbaya!!
Wakati tunasubiri ihuishwe na kuangaliwa kwa jicho la tatu vijana wanazidi kupata tabu. CCM ipumzishwe labda hawa wengine watakua na uchungu na hawa vijana.Ndio maana nikasema sekta/ikihuishwa (PPP) binafsi ikingaliwa kwa jicho la tatu ndio mkombozi wa graduates.
Ahahahahahaha! Mnajiaminisha kweli mwisho wa siku mnakuja kuloloma kwa aibu eti mmeibiwa kura.! Ahahahahahaha!Hawaitaki ccm na watu wao
una family mkuu?Mimi na family yangu kura ni lissu
No mbeya ume underestimate ni 80-90Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)
Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1.Dodoma(40-50%)
2.Geita/Chato(40-45)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)
Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1.Dodoma(40-50%)
2.Geita/Chato(40-45)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Hahahaàaaaaaaa Mwanza!!!!!! Kweli upinzani mmevurugwaUngesema ataongoza
Mbeya mjini
Mwanza mjini
Arusha mjini
Moshi mjini. Sio mkoa mzima
unajkuna matako baada ya kukalia upupu,, subirini oct 2020 ntaelewa tu na hesabu zenuKwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)
Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1.Dodoma(40-50%)
2.Geita/Chato(40-45)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Hilo nalo neno.Wachagga hawawezi kumchagua Lissu!
Why don't yuh think of the opposite we mzee?Note:Membe akiimuunga mkono Lissu
Amen.Kwa mtazamo wangu, Lissu ana nafasi ya kupata kura nyingi zaidi katika mikoa hii ifuatayo:
1.Dar-es-Salaam(anaweza pata asilimia 70 mpaka 80 ya kura zote za mkoa huu)
2.Arusha(75-80%)
3.Singida(65-75%)
4.Kilimanjaro(70-80%)
5.Mwanza(55-65%)
6.Mbeya(75-80)
7.Mara(65-75%)
Mikoa ambayo anaweza kupata kura chache ni hii:
1.Dodoma(40-50%)
2.Geita/Chato(40-45)
Katika mikoa iliyobaki, watakuwa wanapisha ila sio kwa gap kubwa kama katika hiyo mikoa niliyoitaja.
All in all,Lissu ana nafasi kubwa ya kiubuka mshindi katika sanduku la kura kwa kupata ushindi wa asilimia 65 mpaka 75.
Note:Membe akiimuunga mkono Lissu,basi hata katika mikoa ya kusini ya Lindi na Mtwara-hasa Lindi-Lissu atakuwa na advantage ya kupata kura nyingi zaidi.
Huu ni utabiri wangu,tusubiri wakati ufike.
Vigezo:
1.Mwamko wa watu wa kutaka mabadiliko katika maeneo husika.
2. Kukubalika binafsi kwa Lissu miongoni mwa watanzania wengi hasa vijana
3.Serikali ya awamu ya tano kuwapa kisogo wananchi na kukumbatia maendeleo ya vitu.
Once again I repeate he will never ever be prezidaa of this country!!Endelea kujitekenya et "he will never ever be president of this country.."..!!
Endelea kuota
Kuipumzisha sio suluhisho, sululu ni sisi kushauri inavyofaa iwe.Wakati tunasubiri ihuishwe na kuangaliwa kwa jicho la tatu vijana wanazidi kupata tabu. CCM ipumzishwe labda hawa wengine watakua na uchungu na hawa vijana.