mumagoma
Senior Member
- Jan 15, 2014
- 186
- 95
Mbeya
Majimbo ya mbarali, Mbeya mjini, Mbeya vijijini, Rungwe na Kyela
Kigoma
Majimbo karibia yote ni ACT Wazalendo na CHADEMA
Dar es Salaam
Majimbo yote kuna upinzani
Zanzibar
Mikoa yote ni ACT
Kagera
Majimbo yote CHADEMA ina nguvu hasa Bukoba vijijini, Bukoba mjini na Kyerwa
Mara
Majimbo yote kuna upinzani hasa bunda, Rorya, Tarime yote mawili, Musoma mjini
Kilimanjaro
Majimbo mengi
Arusha
Majimbo ya Arusha Mjini
Mtwara na Lindi
CUF, ACT na CHADEMA kuna majimbo watayabeba mengi
Singida
CHADEMA inaweza beba majimbo matatu na kuendelea
Majimbo ya mbarali, Mbeya mjini, Mbeya vijijini, Rungwe na Kyela
Kigoma
Majimbo karibia yote ni ACT Wazalendo na CHADEMA
Dar es Salaam
Majimbo yote kuna upinzani
Zanzibar
Mikoa yote ni ACT
Kagera
Majimbo yote CHADEMA ina nguvu hasa Bukoba vijijini, Bukoba mjini na Kyerwa
Mara
Majimbo yote kuna upinzani hasa bunda, Rorya, Tarime yote mawili, Musoma mjini
Kilimanjaro
Majimbo mengi
Arusha
Majimbo ya Arusha Mjini
Mtwara na Lindi
CUF, ACT na CHADEMA kuna majimbo watayabeba mengi
Singida
CHADEMA inaweza beba majimbo matatu na kuendelea