Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kumpigia kura yako mgombea yeyote wa CCM ni sawa na kuharibu kura ysko
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂 Hivi hizi akili huwa mnazitoa wapi jamani?
😂😂😂😂😂 Hivi hizi akili huwa
Nina shaka kidogo safari hii kwenye mkoa huu. Inaonyesha kama CCM wameshajiimarisha kwenye mkoa huu kwa namna ya ajabu; na kwa kutumia instincts zangu, ninatabiri kuwa Waziri wa Fedha ajaye, atatoka kwenye jimbo mojawapo la mkoa huu; believe me!Kilimanjaro
Majimbo mengi
Hahaha mnapigwa kotekote, labda twita ndo mnawafuasiUpinzani unabeba majimbo ya mikoa yote, chamsingi ni kuhakikisha tunathibiti wizi na udanganyifu wa aina yoyote!
Tusiruhusu watu wapenyeze zile kura za wizi au kuchakachua matokeo, Tathminini inaonyesha kama si kuengua wagombea katika majimbo mengine upinzani ulikua umekifuta kabisa chama cha mbogamboga!