Mikoa gani na wilaya gani zinakuza ngano kwa wingi Tanzania?

Mikoa gani na wilaya gani zinakuza ngano kwa wingi Tanzania?

tajiri tumbo kubwa

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2021
Posts
429
Reaction score
567
Habari wakuu, natarajia kila moja wenu ako salama. Nimekuja kwenu nikitaka msaada kaa zile kichwa kinajieleza, ningetaka kujua ni mikoa au wilaya gani zinakuza ngano kwa wingi au ina ardhi ambayo ngano inaweza kuzwa kwa wingi?

Nitashukuru sana kwa msaada wa majibu huyu wapenda, natanguliza shukrani zangu za dhati.

Mimi wenu Dr tajiri tumbo kubwa
 
ina kubali katk mikoa mingi tu...

Dodoma kuna uzalishaji wa mikataba na makampuni kama ilivyo mikoa mingine ya
Rukwa
Manyara
Kilimanjaro
etc
 
Uyole Mbeya kuna mashamba makubwa sana ya ngano
 
Nakumbuka huko Nafco walikuwa wanalima, Wabarbaig wanaenda kuchungia Ngano usiku. Binafsi nlishawahi kujaribu kulima maeneo ya Babati lakini ilikuwa haina bei kabisa tukawa tunalima Dengu na badae Vitunguu maji ya masika.
 
Back
Top Bottom