NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Mikoa mitano inayoongoza kutoa vipaji vya soka kwa hapa Tanzania:
1) Kigoma
2) Mwanza
3) Tanga
4) Morogoro
5) Zanzibar
6) Mingine inuafatia
Hata kama kuna project ya kusaka vipaji mikoa tajwa hapo juu inastahili kupewa kipaumbele.
Mkoa wa Kigoma unasifa za ziada kama:
1) Wanadumu kwa muda mrefu kwenye viwango vyao vya soka
2) Wavumilivu, endapo klabu itapata changamoto ya fedha ama tatizo lolote kwenye klabu.
Nawasilisha.
1) Kigoma
2) Mwanza
3) Tanga
4) Morogoro
5) Zanzibar
6) Mingine inuafatia
Hata kama kuna project ya kusaka vipaji mikoa tajwa hapo juu inastahili kupewa kipaumbele.
Mkoa wa Kigoma unasifa za ziada kama:
1) Wanadumu kwa muda mrefu kwenye viwango vyao vya soka
2) Wavumilivu, endapo klabu itapata changamoto ya fedha ama tatizo lolote kwenye klabu.
Nawasilisha.