Mikoa inayoongoza kwa kilimo cha Bangi Tanzania🍁

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Bangi ni zao ambalo limepigwa marufuku hapa nchini kulimwa japo baadhi ya nchi zao hili ni "tukufu". Bangi ndio zao linalolipa zaidi dunia kutokana na kua na soko la uhakika na bei yake sio fluctuate kama mazao mengine. Hii hapa Mikoa inayolima Bangi hapa nchini kwa matumizi ya ndani na nje. 🤙Arusha&Morogoro Jah bless all Ganja Farmers Mods Mods uzi upo clean acheni kufuta futa.
 
Kuna bange ya dodoma inaitwa skanka🔥🔥🔥
 
Kimavazi yaani hawajipatiliza sina maana mbaya ni kweli kwa bongo ila nje wapo fresh wanapendeza ila sijui bongo tatizo ni nn?
Ahaa lakn mateja sana sana ndio hua nawaona wachafu
 
Ahaa lakn mateja sana sana ndio hua nawaona wachafu
Mi nimekaa na wavuta bhangi kitaa ni bangi vijana kama 98% hata wanaosma ni bangi ..

Cha kwanza ni wachafu halafu ni watu wnatia aibu ombaomba kwa mfano anaweza kukuomba eti "500" achukue zig tu au anunue msokoto mmoja .

Then madogo wanafuga rasta ,wengi wachafu isipokuwa wale niliwahi kuwaona chuo na advance ila wa kitaa ni wachafu sana ,

Afya mbovu , tofauti na nje hapa wengi sijui ni afya au wanavaa nguo oversize yaani wamekorongoka mwili na kuzeeka bado wadogo miaka 28 mtu kawa kama mzee sura .

Wengine kama wazee, yaani ngozi kama mamba sijui hawapaki mafuta ,meno wana mapengo bado wadogo hata kuswaki ni tatizo ..Mtu akiamka ni bhangi basi hakumbuki hata kunawa uso.
 
Ooh!! vp wewe ujawahi kugusa dawa kabsa??
 
Yeyote atakaejibu hii kwa hasira ujue ana ngozi kama mamba kama ulivyosema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…