Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
😅 😅 😅 😅 🤣Mods Mods uzi upo clean acheni kufuta futa
Kuna bange ya dodoma inaitwa skanka🔥🔥🔥Bangi ni zao ambalo limepigwa marufuku hapa nchini kulimwa japo baadhi ya nchi zao hili ni "tukufu". Bangi ndio zao linalolipa zaidi dunia kutokana na kua na soko la uhakika na bei yake sio fluctuate kama mazao mengine. Hii hapa Mikoa inayolima Bangi hapa nchini kwa matumizi ya ndani na nje. 🤙Arusha&Morogoro Jah bless all Ganja Farmers Mods Mods uzi upo clean acheni kufuta futa.View attachment 2640356
Wachafu unamaanisha kimavazi au kiakili(kitabia)Wavuta bhangi wa bongo wengi wachafu.
Ni zao linaloponya🙏🏿🙏🏿🙏🏿Bangi ni dawa
Kimavazi yaani hawajipatiliza sina maana mbaya ni kweli kwa bongo ila nje wapo fresh wanapendeza ila sijui bongo tatizo ni nn?Wachafu unamaanisha kimavazi au kiakili(kitabia)
Ahaa lakn mateja sana sana ndio hua nawaona wachafuKimavazi yaani hawajipatiliza sina maana mbaya ni kweli kwa bongo ila nje wapo fresh wanapendeza ila sijui bongo tatizo ni nn?
Jahbless you!Bangi ni tiba
Wa nchi gani ni wasafi?..Wavuta bhangi wa bongo wengi wachafu.
Mi nimekaa na wavuta bhangi kitaa ni bangi vijana kama 98% hata wanaosma ni bangi ..Ahaa lakn mateja sana sana ndio hua nawaona wachafu
Nje wengi wasafi , tofauti na bongo angalia wasanii wa mbele ni wsafi wanakula pamba za maana.Wa nchi gani ni wasafi?..
Ooh!! vp wewe ujawahi kugusa dawa kabsa??Mi nimekaa na wavuta bhangi kitaa ni bangi vijana kama 98% hata wanaosma ni bangi ..
Cha kwanza ni wachafu halafu ni watu wnatia aibu ombaomba kwa mfano anaweza kukuomba eti "500" achukue zig tu au anunue msokoto mmoja .
Then madogo wanafuga rasta ,wengi wachafu isipokuwa wale niliwahi kuwaona chuo na advance ila wa kitaa ni wachafu sana ,
Afya mbovu , tofauti na nje hapa wengi sijui ni afya au wanavaa nguo oversize yaani wamekorongoka mwili na kuzeeka bado wadogo miaka 28 mtu kawa kama mzee sura .
Wengine kama wazee, yaani ngozi kama mamba sijui hawapaki mafuta ,meno wana mapengo bado wadogo hata kuswaki ni tatizo ..Mtu akiamka ni bhangi basi hakumbuki hata kunawa uso.
Sidhani kama huyo Dada amewahi kugusa dawa.Ooh!! vp wewe ujawahi kugusa dawa kabsa??
Huwezi jua ngoja aje aseme mwenyeweSidhani kama huyo Dada amewahi kugusa dawa.
Namwona anavyoponda ponda hiii dawa.Huwezi jua ngoja aje aseme mwenyewe
Yeyote atakaejibu hii kwa hasira ujue ana ngozi kama mamba kama ulivyosemaMi nimekaa na wavuta bhangi kitaa ni bangi vijana kama 98% hata wanaosma ni bangi ..
Cha kwanza ni wachafu halafu ni watu wnatia aibu ombaomba kwa mfano anaweza kukuomba eti "500" achukue zig tu au anunue msokoto mmoja .
Then madogo wanafuga rasta ,wengi wachafu isipokuwa wale niliwahi kuwaona chuo na advance ila wa kitaa ni wachafu sana ,
Afya mbovu , tofauti na nje hapa wengi sijui ni afya au wanavaa nguo oversize yaani wamekorongoka mwili na kuzeeka bado wadogo miaka 28 mtu kawa kama mzee sura .
Wengine kama wazee, yaani ngozi kama mamba sijui hawapaki mafuta ,meno wana mapengo bado wadogo hata kuswaki ni tatizo ..Mtu akiamka ni bhangi basi hakumbuki hata kunawa uso.