Mikoa Migumu Kutoboa Kimaisha

Mikoa Migumu Kutoboa Kimaisha

Usipotoboa ukiwa Kagera utakuwa mwehu
Fursa za uvuvi
Kilimo cha kahawa
Ufugaji
Tumepakana na nchi za Uganda, Burundi, Rwanda
Kilimo cha miwa, ndizi, maharage n.k
Usafirishaji
Madini ya bati, nikel, ardhi yetu Kagera ina rutuba
Kuhusu Kagera Kuna tatizo ambalo nadhani linaikumba mikoa mwingine pia,mosi wenyeji kubweteka kwa kuchagua kazi za kufanya,,pili tokana na Hilo la kwanza baadhi ya wenyeji kubaguana wao kwa wao kwa kuona fulani akipata hiki au kile atatamba sana dhidi ya kundi fulani,ivyo anatiliwa kauzibe ana lose,hapo ni kwa kutumia mbinu mbalimbali zikiwemo fitina,uchawi nk,mwisho wa siku hata kama mtu wa nje alitaka kuwekeza ,anaamua kuamia mkoa mwingine ivyo fursa inapotea hivi hivi,kamnobere nk,nk,,tokana na hayo unakuta wageni wanaofight kwa mbinde,ndo wanatoboa angalau,.
 
Hautoboi ukifanya biashara gani?

Taja mkoa na biashara gani hautatoboa. Mfano ukienda Makete kuuza mafriji ni wazi utasumbuka kutoboa. Lakini ukienda kuanzisha kampuni ya kutengeneza shower heads na kuziwekea heater unaweza ukawa na soko constant
Naam,ukitatua tatizo fulani katika jamii,ni fursa tosha.
 
Kuhusu Kagera Kuna tatizo ambalo nadhani linaikumba mikoa mwingine pia,mosi wenyeji kubweteka kwa kuchagua kazi za kufanya,,pili tokana na Hilo la kwanza baadhi ya wenyeji kubaguana wao kwa wao kwa kuona fulani akipata hiki au kile atatamba sana dhidi ya kundi fulani,ivyo anatiliwa kauzibe ana lose,hapo ni kwa kutumia mbinu mbalimbali zikiwemo fitina,uchawi nk,mwisho wa siku hata kama mtu wa nje alitaka kuwekeza ,anaamua kuamia mkoa mwingine ivyo fursa inapotea hivi hivi,kamnobere nk,nk,,tokana na hayo unakuta wageni wanaofight kwa mbinde,ndo wanatoboa angalau,.
Kagera wanatabia ya kubaguana sana na kufanyiana figisu kwenye biashara
 
Back
Top Bottom