milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Mikoa mingi nchini Tanzania leo imekumbwa na tatizo la kukosekana kwa umeme kwa muda wote wa siku, jambo lililosababisha usumbufu kwa wananchi na shughuli za kimaisha.
Wengi wanajiuliza ni nini chanzo cha hali hili?
Kuna mgao wa Umeme😳😳🥺🥺?
Wengi wanajiuliza ni nini chanzo cha hali hili?
Kuna mgao wa Umeme😳😳🥺🥺?