mkuu born again
watalii hawapatikani kwenye mbuga bali huingia nchini na kuipatia nchi fedha za kigeni.
bagamoyo...kwa baba ridhi
Kwa hiyo watalii wanaoingia mkoa wa Mara wanapatikana kwenye manyasi,kungekuwa hakuna mbuga ya serengeti wangepatikana
serengeti haisaidii mkoa wa mara kimapato,kwakuwa booking karibu zote za watalii hufanyika arusha na kilimanajaro pale nia ada tu ya getini,wageni wengi wanaotoka masai mara hufika pale tayari wakiwa wametumia kiasi kikubwa cha pesa.
RUVUMA ... makaa ya mawe/ mbuga/ uranium
DAR ........bandari
MTWARA ...bandari/gesi
MWANZA ..... uvuvi, viwanda
KIGOOOOOOMA ......maweso,kaseja, ....