Mikoa mitano inayoongoza kwa uchumi ni ipi hapa Tanzania?

Mikoa mitano inayoongoza kwa uchumi ni ipi hapa Tanzania?

Mimi nadhani mikoa ambayo inachangia pato la taifa zaidi ndio mikoa yenye uchumi mzuri. Kwa mfano mikoa kama Tabora na singida wanachangia pato la taifa kupitia nini?
 
serengeti haisaidii mkoa wa mara kimapato,kwakuwa booking karibu zote za watalii hufanyika arusha na kilimanajaro pale nia ada tu ya getini,wageni wengi wanaotoka masai mara hufika pale tayari wakiwa wametumia kiasi kikubwa cha pesa.

daah sijui ila wanaoongoza kwa pesa kanda ya ziwa ni matajiri wa mara,hawa account zao zimejaa billions of money na kodi sidhani kama wanalipa,,the likes of nimrod mkono,gachuma,mathayo na ndugu zake,kitano na wengine wengi,,
 
IRINGA-Mbao kutoka Sao hill,chai kutoka Mufindi na Njombe,karatasi kutoka Mgololo,
Pia Waziri wa hela" MLIMWA" kutoka Njombe !!!
 
IRINGA-Mbao kutoka Sao hill,chai kutoka Mufindi na Njombe,karatasi kutoka Mgololo,
Pia Waziri wa hela" MLIMWA" kutoka Njombe !!!

Huu ushabiki sasa! Iringa kwetu, ila kuwepo kwenye tano bora za ukubwa wa uchumi kimkoa, HAPANA SIJAONA TUACHE KUDANGANYANA KUNAKOPELEKEA WATU KUBWETEKA.
 
Huu ushabiki sasa! Iringa kwetu, ila kuwepo kwenye tano bora za ukubwa wa uchumi kimkoa, HAPANA SIJAONA TUACHE KUDANGANYANA KUNAKOPELEKEA WATU KUBWETEKA.

Inawezekana Iringa kukawa kwenu lakini huijui Iringa, mimi si kwetu lakini naijua Iringa vizuri, Iringa ina uchumi mkubwa sana ambao sio wa msimu. Iringa yote inazalisha kwa kiwango cha kujivunia ukiacha eneo dogo la Isimani. Mfindi ni moja ya Wilaya chache zenye uchumi mkubwa kushinda mikoa mingi kupitia kilimo.

Mufindi na Kilolo kuna makampuni makubwa ya kilimo na misitu ya kimataifa, Iringa ni Wazalishaji wakubwa wa Umeme, na kwa ushahidi mkuu, Mfindi ilikuwa Wilaya ya kwanza kuwa na ofisi za NSSF zamani NPF. Sehemu kubwa ya malori ya mbao unayopishana nayo kila siku (usiku na mchana) yakija Dar yametokea huko Mfindi. Mali mbichi za kilolo zinaingia Dar kila siku. Mfindi pia ilikuwa ya kwanza kama sio ya pili baada ya Wilaya ya Mwanga kuwa na Bank ya wananchi, MUCOBA.

Njombe ni Mkoa mpya, sio sehemu ya Iringa tena.
 
Naona wewe utakuwa Muha. Kigoma kuna nini pale zaidi ya uvivu na ubishi? Kaseja mwenyewe si kipa bali ni mwana mazingaombwe tu, ana mpira gani Kaseja?

Kama yale anayofanya Kaseja ni mazingaombwe, basi na mimi nitamwomba anifundishe!
 
Back
Top Bottom