Mikoa ya Arusha, Mbeya, Mwanza, Mara, Iringa na Kigoma Ndio yenye wanaume majasiri

Mikoa ya Arusha, Mbeya, Mwanza, Mara, Iringa na Kigoma Ndio yenye wanaume majasiri

Wakuu Salaam kwenu.
Mikoa tajwa Hapo juu Ndio hutokea wanaume majasiri kwa asilimia kubwa lakini mikoa iliyobaki ujasiri Upo lakini kwa kiwango kidogo . sijui kwa nini?
Unaweza kubezwa kwa vile hakuna takwimu ila ni ukweli mtupu
 
Uko sahihi nikikumbuka siku niliyo kutana na majini mwaka 2005 halafu sikuinua mguu kukimbia kabisa!!!
Watabisha lakini Huo Ndio ukweli wenyewe
 
  • Thanks
Reactions: GUI
Back
Top Bottom