Mikoa ya Iringa, Njombe, Rukwa yaongoza kwa Watoto wenye Udumavu Tanzania

Mikoa ya Iringa, Njombe, Rukwa yaongoza kwa Watoto wenye Udumavu Tanzania

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Licha ya Mikoa ya Kusini kutajwa kuwa miongoni mwa maeneo yenye uzalishaji mkubwa wa Chakula Tanzania, mikoa hiyo bado ina Utapiamlo ambao umekuwa ukiathiri ukuaji wa Watoto kwa (46.2%).

Takwimu za NBS zinaonesha 30% ya Watoto wenye chini ya miaka 5 Nchini wana Udumavu. Mkoa wa Dar es Salaam una kiwango kidogo (18.4%) cha Udumavu kwa Tanzania Bara, Upande wa Visiwani Mkoa wa Mjini Magharibi una (12.8%).

Kipi unazingatia kati ya kuhakikisha Mtoto Ameshiba au Amekula Lishe Bora?
 
Mazao ya chakula yanalimwa kwa wingi na wageni na wenye kipato kikubwa kwaajili ya biashara.
Wenyeji wanakodisha mashamba, wanalima kidogo kwaajili ya chakula - mlo mmoja au miwili kwa siku.
 
That means wenye pesa Wana food security lakini wenye mashamba hawana food security. Inafikirisha Sana[emoji848].
 
That means wenye pesa Wana food security lakini wenye mashamba hawana food security. Inafikirisha Sana[emoji848].
Hapana madam hawanaga matatizo ya hivyo, Ishu supy ya chakula ni kubwa ila je watu wanakula mlo kamili au lishe nzuri kwa watoto.

Hao ndugu zetu mtoto wao akinywa uji basi wamemaliza ..Kwa sasa watu binafsi na makampuni wabadili na lishe bora (unga) ambao una mchanganyiko kwa sana .

Pia watoto katika ukuaji wanatakiwa kula virutubisho vingi mbalimbali ili kuhakikisha wanakua vizuri..

Maajabu iyo mikoa licha ya hayo yote ila watu wake wakuwa na nguvu sana za asili.
 
Watu wa kule hawajali afya zao wanapambana kutafuta hela ziwe nyingi tu ila hawajui watumiaje
 
Back
Top Bottom