Elections 2010 Mikoa ya kusini vipi hakuna wapiga kura?

Elections 2010 Mikoa ya kusini vipi hakuna wapiga kura?

mtemiwao

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2010
Posts
384
Reaction score
46
Tumeshuhudia kikwete(wengne wanatanguliza dr)baada ya kuanza kampeni kituo kilichofata mwanza,leo tena naona yupo mwanza kulikoni?dr slaa nae tumeona baada ya dsm mojawapo ya vituo vilivyofata ni kanda ya ziwa,hawa wagombea hawajaenda kusini kulikon?ina maana lipumba aliyekaa mwezi mikoa ya kusini alikuwa anapoteza muda?mwenye data ya mgawanyiko wa wapiga kura wa nchi hii atuhabarishe tujue kama mgombea urais akiweza kuteka kanda moja kama anaweza kuwa rais VOTE 4 CHANGE
 
Tumeshuhudia kikwete(wengne wanatanguliza dr)baada ya kuanza kampeni kituo kilichofata mwanza,leo tena naona yupo mwanza kulikoni?dr slaa nae tumeona baada ya dsm mojawapo ya vituo vilivyofata ni kanda ya ziwa,hawa wagombea hawajaenda kusini kulikon?ina maana lipumba aliyekaa mwezi mikoa ya kusini alikuwa anapoteza muda?mwenye data ya mgawanyiko wa wapiga kura wa nchi hii atuhabarishe tujue kama mgombea urais akiweza kuteka kanda moja kama anaweza kuwa rais VOTE 4 CHANGE
Kwa idadi ya watu mikoa ya Mwanza na Shinyanga ndiyo most populous in the country. Kwa hiyo ukiiteka hiyo kwingine utakuwa unatafuta kura za kujazia. Vile vile mikoa ya kanda ya Ziwa ina misimamo ya pamoja. Ukifanikiwa kuiteka block yote basi wewe ni mshindi. CCM wanalijua sana hilo hata kwenye vikao vyao wanalizingatia. Ila kuna njama zisizoandikwa kwamba mikoa hiyo haiwezi kutoa rais. Rais, hasa kwa CCM, yamejengeka mazoea au njama kwamba rais lazima atoke ukanda wa pwani - Mwinyi, Mkapa, kikwete. Inawezekana anayefuata ni Membe. Hii haipendezi kwa ukanda wa Ziwa na inawafanya kuwa na mshikamano. Ili uwe rais lazima uwe na mbinu za kuwalainisha. N
 
Back
Top Bottom