Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Cc Mr sule angeleta uzi wa kuponda kwa chuki zake.Mikoa hii inayongoza kwa ngoma ..ingekuwa ya pwani .pasingekalika hapa na kashfa kama zote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc Mr sule angeleta uzi wa kuponda kwa chuki zake.Mikoa hii inayongoza kwa ngoma ..ingekuwa ya pwani .pasingekalika hapa na kashfa kama zote
Ni ngumu kutokea Hilo watu wa pwani Kuna vitu tumewazidi.Mikoa hii inayongoza kwa ngoma ..ingekuwa ya pwani .pasingekalika hapa na kashfa kama zote
Safi sana maambukizi Yazidi kupaaa watu wafe kwa wingi ili tusigombee ugali na oxygen.Mikoa yenye maambukizi ya chini ni Kigoma (1.7%), Manyara (1.8%) na Lindi (2.6%).
Sosi. ITV
Manyara kuna baridi pia kwa hiyo hoja haina nguvu sana sana ushirikina unawatesaBaridi, kukosa Elimu na Ulanzi ndio chanzo cha huo UKIMWI huku kwetu nyanda za juu kusini. Wanawake wa huku hawana msimamo, memgi yanakubali kulalwa bila condom sijui kwanini japo pia hii taarifa sijajua ni ya TACAIDS au NGO zinazotafuta fedha.