Accumen Mo JF-Expert Member Joined May 15, 2022 Posts 18,036 Reaction score 39,882 Dec 3, 2023 #21 kikuna said: Mikoa hii inayongoza kwa ngoma ..ingekuwa ya pwani .pasingekalika hapa na kashfa kama zote Click to expand... Cc Mr sule angeleta uzi wa kuponda kwa chuki zake.
kikuna said: Mikoa hii inayongoza kwa ngoma ..ingekuwa ya pwani .pasingekalika hapa na kashfa kama zote Click to expand... Cc Mr sule angeleta uzi wa kuponda kwa chuki zake.
Beberu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2017 Posts 4,548 Reaction score 9,740 Dec 3, 2023 #22 Hio speed waliyonayo Lindi sio ya kitoto, toka 0.6% - 2.6%, huu mkoa wautazame
okiwira JF-Expert Member Joined Jul 23, 2018 Posts 2,856 Reaction score 3,003 Dec 3, 2023 #23 kikuna said: Mikoa hii inayongoza kwa ngoma ..ingekuwa ya pwani .pasingekalika hapa na kashfa kama zote Click to expand... Ni ngumu kutokea Hilo watu wa pwani Kuna vitu tumewazidi. Ila na wao kuna vitu wametuzidi pia
kikuna said: Mikoa hii inayongoza kwa ngoma ..ingekuwa ya pwani .pasingekalika hapa na kashfa kama zote Click to expand... Ni ngumu kutokea Hilo watu wa pwani Kuna vitu tumewazidi. Ila na wao kuna vitu wametuzidi pia
M Maghayo JF-Expert Member Joined Oct 5, 2014 Posts 20,307 Reaction score 47,210 Dec 3, 2023 #24 Braza Kede said: Mikoa yenye maambukizi ya chini ni Kigoma (1.7%), Manyara (1.8%) na Lindi (2.6%). Sosi. ITV Click to expand... Safi sana maambukizi Yazidi kupaaa watu wafe kwa wingi ili tusigombee ugali na oxygen. Tufe tu wote maamae
Braza Kede said: Mikoa yenye maambukizi ya chini ni Kigoma (1.7%), Manyara (1.8%) na Lindi (2.6%). Sosi. ITV Click to expand... Safi sana maambukizi Yazidi kupaaa watu wafe kwa wingi ili tusigombee ugali na oxygen. Tufe tu wote maamae
ILAN RAMON JF-Expert Member Joined Sep 10, 2013 Posts 9,698 Reaction score 4,488 Jun 9, 2024 #25 Roboti Wa Nape said: Baridi, kukosa Elimu na Ulanzi ndio chanzo cha huo UKIMWI huku kwetu nyanda za juu kusini. Wanawake wa huku hawana msimamo, memgi yanakubali kulalwa bila condom sijui kwanini japo pia hii taarifa sijajua ni ya TACAIDS au NGO zinazotafuta fedha. Click to expand... Manyara kuna baridi pia kwa hiyo hoja haina nguvu sana sana ushirikina unawatesa
Roboti Wa Nape said: Baridi, kukosa Elimu na Ulanzi ndio chanzo cha huo UKIMWI huku kwetu nyanda za juu kusini. Wanawake wa huku hawana msimamo, memgi yanakubali kulalwa bila condom sijui kwanini japo pia hii taarifa sijajua ni ya TACAIDS au NGO zinazotafuta fedha. Click to expand... Manyara kuna baridi pia kwa hiyo hoja haina nguvu sana sana ushirikina unawatesa