chief_
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 830
- 1,395
Uchafu vipi kukojolea kikopo?Chief, mkojo wa binadamu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchafu vipi kukojolea kikopo?Chief, mkojo wa binadamu!!
Siku mkibeba mimba.Lini watataka na mikojo yetu yakiume..?
Mkojo WA kiume unatumia kukuzia mboga inatumika kama ' organic fertilizer' badala ya NpK. Uganda wamegundua kuwa mahindi yanastawi Sana yakimwagiliwa mkojo. Ingia you tube watu wanajaza mikojo kwenye madumu, ni marufuku kupoteza hiyo mbolea.Kinyesi nacho kinunuliwe na kampuni za kutengeneza mbolea.
😎
Si useme tu haiwezekaniSiku mkibeba mimba.
Mikojo yenu mwageni Shamba la mahindi. Inabidi kudilute.Si useme tu haiwezekani
Sawa mama kubwa..Mikojo yenu mwageni Shamba la mahindi. Inabidi kudilute.