Mikongoraa tumeila sana MOSHI tukiwa wadogo ina ladha fulani mdomoni kama muwasho si muwasho utamu si utamu, kama aina fulani hivi ya dawa ya mswaki. Mimi nilikuwa napenda ladha yake.
Watu wanasema inaongeza ukubwa wa dodoki, na nadhani kuna ukweli fulani manaake....
Mikongoraa asee ni mitamu, tena upate ile ya Meru ambayo bado haijaoshwa, tofauti na ile ya mjini.
1. Inaongeza uume
2. Inatibu kinywa kinachotoa harufu isiyo nzuri.
3. Na ikitumiwa muda mfupi kabla ya Sex humsaidia mwanaume kwenda round kadhaa zaidi na kawaida yake, na uume unakuwa mgumu sana.
4. Na pia watu wengine huila kwa ajili ya ladha yake.
Na juzi juzi tu nimeshangaa kuwaona watu wakiitumia kuchanjia mirungi.
mkuu andate hiyo umeprove mwenyewe au?
|We hapo hapo majengo mbauda unakokaa imejaa tele bana usitake kukwepa hapa Erickb52
We unanitafutia kesi kwa Madame B wakati hata utani nae sina aise Madame B hahitaji mtu wa kuongezea power kwa miti shamba anataka nguvu natural bila chenge na ukiwa nae sio wa dak tano unahema kama kuku wa kisasa unatakiwa uende Saa nzima
andate sisi pia tukiwa wadogo kule arusha tulikula sana mikongoraa wakati wa kuchunga mbuzi ilikuwa na test kama uliyoisema na sikuwahi kujua kama ina tatizo!
Je unafahamu inapatikana wapi kwa hapa dar es salaam?nilikuwa napenda kuila kwa sababu ya ladha yake, baadae nikaanza kusikia hayo maneno.
Imefanyaje?Hii k2 hii k2
nilikuwa napenda kuila kwa sababu ya ladha yake, baadae nikaanza kusikia hayo maneno.
Je unafahamu inapatikana wapi kwa hapa dar es salaam?
Pia inamvuta mpenzi aliye mbali....
Cheki kwa wamasai huwa ninawaona wanaipitisha sana
Smiling Saint huyo jamaa Erickb52 asikudanganye anaijua sana na ashakula sana
Kuna imani inaongeza ukubwa wa naninihino ila sidhani kama kuna ukweli aise
Ipo sana mitaani wengine wanasema inasafisha tumbo wengine ndio hizo imani ila sina uhakika bana
ina kitu gani mkuu kinachosafisha kibofu, halafu je kwa kina mama haina effect yoyote?
Je unafahamu inapatikana wapi kwa hapa dar es salaam?