Mikongoraa ni nini? Na ina effect gani?

Mikongoraa ni nini? Na ina effect gani?

Mikongoraa tumeila sana MOSHI tukiwa wadogo ina ladha fulani mdomoni kama muwasho si muwasho utamu si utamu, kama aina fulani hivi ya dawa ya mswaki. Mimi nilikuwa napenda ladha yake.
Watu wanasema inaongeza ukubwa wa dodoki, na nadhani kuna ukweli fulani manaake....

andate sisi pia tukiwa wadogo kule arusha tulikula sana mikongoraa wakati wa kuchunga mbuzi ilikuwa na test kama uliyoisema na sikuwahi kujua kama ina tatizo!
 
Mikongoraa asee ni mitamu, tena upate ile ya Meru ambayo bado haijaoshwa, tofauti na ile ya mjini.

1. Inaongeza uume

2. Inatibu kinywa kinachotoa harufu isiyo nzuri.

3. Na ikitumiwa muda mfupi kabla ya Sex humsaidia mwanaume kwenda round kadhaa zaidi na kawaida yake, na uume unakuwa mgumu sana.

4. Na pia watu wengine huila kwa ajili ya ladha yake.

Na juzi juzi tu nimeshangaa kuwaona watu wakiitumia kuchanjia mirungi.

mkuu hii ina uthibitisho kibaolojia?
 
mkuu andate hiyo umeprove mwenyewe au?

Hii ni kutokana na wadada wa jirani ambao waliokuwa wamenizidi umri kwa miaka 8 hadi 10 wakati huo nipo shule ya msingi std 7, walikuwa wananiambia kwa umri wangu sikutakiwa kuwa na kitu kubwa hivi(hawa wadada ni kama walikuwa wananibaka aisee), hapo nikaingia hofu nikaacha kula mikongoraa, niliila sana kuanzia nipo std 4.
 
|We hapo hapo majengo mbauda unakokaa imejaa tele bana usitake kukwepa hapa Erickb52



We unanitafutia kesi kwa Madame B wakati hata utani nae sina aise Madame B hahitaji mtu wa kuongezea power kwa miti shamba anataka nguvu natural bila chenge na ukiwa nae sio wa dak tano unahema kama kuku wa kisasa unatakiwa uende Saa nzima

Usiniogope, Mi sitakukula Mr Rocky.......hata Erickb52 analijua hilo.
 
Last edited by a moderator:
andate sisi pia tukiwa wadogo kule arusha tulikula sana mikongoraa wakati wa kuchunga mbuzi ilikuwa na test kama uliyoisema na sikuwahi kujua kama ina tatizo!

nilikuwa napenda kuila kwa sababu ya ladha yake, baadae nikaanza kusikia hayo maneno.
 
Kuna mtu ameshawahi kukutana na hao wanaouza hii kitu?
 
Hamna anayefahamu for sure nani anauza hiyo hapa dar es salaam?
 
Smiling Saint huyo jamaa Erickb52 asikudanganye anaijua sana na ashakula sana
Kuna imani inaongeza ukubwa wa naninihino ila sidhani kama kuna ukweli aise
Ipo sana mitaani wengine wanasema inasafisha tumbo wengine ndio hizo imani ila sina uhakika bana

Ipo home ilioteshwa na babu yabgu kabla sijazaliwa,kazi ya mkongoraa ni kusafisha kibofu na mishipa ya uzazi na sii kukuza dushe.
 
Last edited by a moderator:
ina kitu gani mkuu kinachosafisha kibofu, halafu je kwa kina mama haina effect yoyote?

Haina effect na inasafisha njia zote za uzazi..nebda kapate ile ya umasaini ambayo haijakuzwa eneo lenye maji mengi thn tafuna na umeze maji yake...utaniambia utakavyojifeel.
 
Je unafahamu inapatikana wapi kwa hapa dar es salaam?

Mkuu sidhani kana dar es salaam inapatikana ila Arusha sehemu nyingi zipo na zinaota zaidi umasaini na meru,HAZINA MADHARA KABISA ZAIDI YA FAIDA nilianza kutafuna tangu nikiwa mdg na inafanya mishipa ya uzazi iwe imara kama punda.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Ukianza kuitafuna inawasha mdomoni halafu baada ya hapo itaanza kuwa tamu...nimeikumbuka ghafla
 
Back
Top Bottom