Mikongoraa ni nini? Na ina effect gani?

Hiyo kitu inasafisha mishipa ya uzazi ususani ukiwa unatumbo linalonguruma au kitu kingne kinachoweza kupunguza nguvu za kiume,kimsingi haiongezi nguvu za kiume ila inasafisha hivyo vinavyofanya nguvu kupungua na kurudi kama zaman,kama ingekuwa na madhara basi wazazi wetu wangekuwa wameshayapata
 

Mkuu unasema haiongezi nguvu za kiume? Mkongoraa huwa inachanganywa na dawa nyingine moja ya kimasai(siikumbuki jina)+maziwa halafu ingia uwanjani,utanipa matokeo.
 
Mkongoraa hii ni Aina ya mizizi sisi tunaotoka Arusha hususani maeneo ya vijijini tunaelewa.

Mikongoraa ipo ya aina mbili; ipo mikongoraa myeupe ambayo ni mizizi inayoenda chini ila ipo ambayo inapanda juu ya miti.

Yote ina kazi moja na kazi zake ni kama zifuatazo
1. Ni dawa ya magonjwa mengi
2. Kwa wanaume inakuza na kurefusha uume
3. Inapanua uume
4. Wakati wa tendo la ndoa itakufanya uwe imara
5. Inakaza mishipa ya uume

Madhara yake

1. Ukila Sana uume unarefuka zaidi kupita kiasi
2. Inakupa hamu ya ngono
3. Huondoa hamu ya kula

Yote haya nilishawahi kuyafanyia practice na kuona inavyofanya kazi pia haina Madhara kiafya.

Ahsanteni
 
Sasa ukweli ni upi hapa maana kila mmoja anaeleza kivyake.
 
Hapa penyewe nipo nakula mkongoraa. Binafsi sijui kazi yake, ila niliona watu wanakula na mimi nikaanza kula. Huwa naipenda sana ladha yake ya uchungu kwa mbali, ya muwasho mdomoni na utamu wake. Lakini pia napenda sana harufu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…