Hiyo kitu inasafisha mishipa ya uzazi ususani ukiwa unatumbo linalonguruma au kitu kingne kinachoweza kupunguza nguvu za kiume,kimsingi haiongezi nguvu za kiume ila inasafisha hivyo vinavyofanya nguvu kupungua na kurudi kama zaman,kama ingekuwa na madhara basi wazazi wetu wangekuwa wameshayapata