Mikono yenye damu by Tundu Lissu

Mikono yenye damu by Tundu Lissu

Unitman

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
511
Reaction score
671
Habari ndugu wadau.

Nilisikiliza hotuba ya TUNDU LISU Sept 7 siku ya kumbukizi ya miaka 5 tangu jaribio la kutaka kumchomoa nafsi.

Katika hotuba yake ambayo kimsingi inavutia sana alitaja mambo mazito sana.Kimsingi watanzania hatujazoea kusema ukweli ata kama ni Mchungu, tumezoea kupaka rangi upepo.

Jamaa aliwataja waarifu wengi ambao wanapaswa kukamatwa na kupelekwa the heague.

Ninachotaka wadau mnisaidie ni pale alipomsafisha Mzee mwinyi kuwa mikono yake ni misafi . Inawezekana yupo sahihi. Lakini alipofika awamu ya 6 Mzee TUNDU alishikwa na kigugumizi na hakufafanua kama awamu ya 6 ni wasafi au na wao wameshamwaga alichosema ni kuwa tuwemakini.

Hapa aliniacha njiapanda.
 
Uyo anamatatizo kichwan asitukumbushe machungu ya loliondo na Mwinyi
 
Tanzania Ni Salama Sana chini ya uongozi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani, Ni kimbilio na tumaini la wanyonge
 
Kwahy jamaa anasubiri uchaguzi ufike ndio aje Tz.? Halafu bado kuna raia watamuona shujaa.
 
Habari ndugu wadau. Nilisikiliza hotuba ya TUNDU LISU Sept 7 siku ya kumbukizi ya miaka 5 tangu jaribio la kutaka kumchomoa nafsi...
Mkuu huelewi maana ya kuwa makini?
 
Habari ndugu wadau. Nilisikiliza hotuba ya TUNDU LISU Sept 7 siku ya kumbukizi ya miaka 5 tangu jaribio la kutaka kumchomoa nafsi...
Hakuna awamu ya 6, bali tuna awamu ya5 kipindi cha pili ma rais wa sita.
 
Back
Top Bottom