kirisha
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 573
- 663
Jamani naombeni ushauri nimekopa kwa watu binafsi na tasisi za kifedha paka sasa na Deni langu limepanda sana na kufika 7700000 milioni Saba na laki Saba
Mzigo dukani kwangu upo ila siyo mkubwa kawaida. Sasa nimemuomba rafiki yangu ushauri jinsi ya kupata pesa niweke mzigo ili nizungushe kipindi hiki cha sikukuu.
Kanishauri niende kwenye tasisi moja nikope milioni moja niweke mzigo dukani kisha nirejeshe na kupunguza madeni.
Nimewaza na hali yangu ya madeni nikiongeza tena madeni nitatoboa kweli!
Najua huku Jamiiforums Kuna watu waliopitia shida Kama hizi zangu, naombeni ushauri nichukue hiyo milioni au nikomae na huu mzigo uliopo dukani!
Mzigo dukani kwangu upo ila siyo mkubwa kawaida. Sasa nimemuomba rafiki yangu ushauri jinsi ya kupata pesa niweke mzigo ili nizungushe kipindi hiki cha sikukuu.
Kanishauri niende kwenye tasisi moja nikope milioni moja niweke mzigo dukani kisha nirejeshe na kupunguza madeni.
Nimewaza na hali yangu ya madeni nikiongeza tena madeni nitatoboa kweli!
Najua huku Jamiiforums Kuna watu waliopitia shida Kama hizi zangu, naombeni ushauri nichukue hiyo milioni au nikomae na huu mzigo uliopo dukani!