Mikopo inayoendelea kuombwa kwa kasi na Serikali hivi huwa inaenda kweli kwenye sehemu husika au inaisha tu juu juu?

Watanzania tulio wengi ni mabingwa wa kuiba ,wakati huo huo ni hodari wa kujiona watakatifu kwa kuwanyoshea vidole walio mbele ya nyuso zetu.
 
Zinatumika kununulia magari namba namba E kwa wingi

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Niyo
Ndiyo maana hii serikali haitaki Raisi ashtakiwe kwa matumizi mabaya ya ofisi, picha la kindezi lina anzia hapo tuu. Yaani mpaka hapo unajua hii ni inchi ya aina gani wala hakuna haja ya kufika kwenye katiba mbali kote huko.

Na wananchi wako busy kushangilia tuu. Kwakweli inatia huruma aisee
 
WEWE UNAONA MISAFARA YA MTU MDOGO KAMA MAKONDA MAGARI ZAIDI YA 30 NDIO MIKOPO INAKOPOTELEA MANOTI ANAYAGAWA KAMA NJUGU NDIO MIKOPO HIYO
 
WEWE UNAONA MISAFARA YA MTU MDOGO KAMA MSKONDA MAGARI ZAIDI YA 30 NDIO MIKOPO INAKOPOTELEA MANOTI ANAYAGAWA KAMA NJUGU NDIO MIKOPO HIYO
Sasa badala ya mimi kwenda kausha damu si bora niunge juhudi kama Lucas🤓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…