Inaposemwa kazi iendelee na nyinyi mjiongeze ,utaziona kazi nyingi sana ambazo CCM walikuwa nazo wakati wa Magu na sasa zinasemwa kazi ziendelee au ziendelezwe.
1) Kama uliona unaonewa basi kazi ya kukuonea itaendelea
2) Kama uliona mambo yanakunyookea basi yatazidi kukunyookea
3) Kama waliiba kura basi mjue ile kazi inaendelea na hii inakuwa kazi ya kufa mtu .
Ongezea kazi ambazo unahizi zilikuwepo kwenye uawala wa CCM chini ya MWEVULI wa CCM.
1) Kama uliona unaonewa basi kazi ya kukuonea itaendelea
2) Kama uliona mambo yanakunyookea basi yatazidi kukunyookea
3) Kama waliiba kura basi mjue ile kazi inaendelea na hii inakuwa kazi ya kufa mtu .
Ongezea kazi ambazo unahizi zilikuwepo kwenye uawala wa CCM chini ya MWEVULI wa CCM.