Am focused
Member
- Jun 13, 2021
- 41
- 173
Moja kwa moja niende kwenye maada kama kichwa cha habari kinavyosema
Kumekuwa na sintofahamu juu ya kauli iliyotolewa na mheshimiwa spika, bwana Job Ndugai hivi karibuni na hata yeye mwenyewe ameamua kuikana kauli yake baada ya mashinikizo kadhaa kutoka kwa watu na viongozi mbali mbali
Tusijadili kwanza kauli ya mheshimiwa spika ila ningeomba nitanabaishe kwa upande wangu kwamba mheshimiwa alikuwa sahihi kutoa ile kauli lakini sababu watanzania wengi hawako upande wake hasa ukizingtia matendo yake kipindi cha magufuli na baadhi ya viongozi ambao wanalinda matumbo yao kupitia mikopo hiyo.
Tujadili maada hii mikopo ya matrilioni ambayo haiendi kutumika katika shughuli za kiuchumi na badala yake zinaenda kujenga vyoo, madarasa na sehemu zingine zisizo na shughuli za kiuchumi inarudishwa kwa njia gani?
Kwanini hii mikopo isitumike sehemu “potential” tu ambapo kunakuwa na ulazima katika miradi mbali mbali ambayo itajiendesha kurejesha mikopo hiyo?
Kuna “agenda” gani juu ya hii mikopo ambayo haiendi katika uzalishaji?
Msitumie mihemko kujibu hayo maswali sababu najua kuna baadhi ya watu humu wananufaika na mifumo iliyopo hivyo watakuja na hoja nyepesi
Pia elimu za viongozi wengi ni ndogo sana ambazo zinawafanya wasiweze kufikiria juu ya haya mambo
Viongozi wengi hawana uzalendo juu ya hili taifa, kila mtu anataka kujinufaisha kwa wakati wake na hivyo watanzania wengi kukosa maendeleo na mwelekeo kwa ujumla.
Tuweke siasa pembeni tujadili hoja tajwa!
👆🏾
Kumekuwa na sintofahamu juu ya kauli iliyotolewa na mheshimiwa spika, bwana Job Ndugai hivi karibuni na hata yeye mwenyewe ameamua kuikana kauli yake baada ya mashinikizo kadhaa kutoka kwa watu na viongozi mbali mbali
Tusijadili kwanza kauli ya mheshimiwa spika ila ningeomba nitanabaishe kwa upande wangu kwamba mheshimiwa alikuwa sahihi kutoa ile kauli lakini sababu watanzania wengi hawako upande wake hasa ukizingtia matendo yake kipindi cha magufuli na baadhi ya viongozi ambao wanalinda matumbo yao kupitia mikopo hiyo.
Tujadili maada hii mikopo ya matrilioni ambayo haiendi kutumika katika shughuli za kiuchumi na badala yake zinaenda kujenga vyoo, madarasa na sehemu zingine zisizo na shughuli za kiuchumi inarudishwa kwa njia gani?
Kwanini hii mikopo isitumike sehemu “potential” tu ambapo kunakuwa na ulazima katika miradi mbali mbali ambayo itajiendesha kurejesha mikopo hiyo?
Kuna “agenda” gani juu ya hii mikopo ambayo haiendi katika uzalishaji?
Msitumie mihemko kujibu hayo maswali sababu najua kuna baadhi ya watu humu wananufaika na mifumo iliyopo hivyo watakuja na hoja nyepesi
Pia elimu za viongozi wengi ni ndogo sana ambazo zinawafanya wasiweze kufikiria juu ya haya mambo
Viongozi wengi hawana uzalendo juu ya hili taifa, kila mtu anataka kujinufaisha kwa wakati wake na hivyo watanzania wengi kukosa maendeleo na mwelekeo kwa ujumla.
Tuweke siasa pembeni tujadili hoja tajwa!
👆🏾