Mikopo kwa continuing students

Mikopo kwa continuing students

Samahan naomba nchanganye mada, kwa mfano mi, first year pale Tia ila nkiingia ktk website ya bodi naambiwa not secures reason for not secured ni budget exhausted. Hii inamana ndyo mwaka huu ntokee yan cpat tena au niaje apo?, msaada kwa mwenye uelewa tafadhal

hapo umekosa ndugu,pole xana subir kuappeal au kuomba tena next year
 
kuweni tu na subira wakuu bila shaka next week tutajua mbivu na mbichi
 
continuing hua wanachelewa kutoa majina hivyo subr hadi chuo kifunguliwe bt uwe makin sana kwa ufuatiliaji bt upo chuo gan?
 
Back
Top Bottom