Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 940
- 401
- Thread starter
-
- #21
Ile ni xpexho program na walihaid lazma watoe mkopo ili wanafunz waweze kujkmu xo 2waxubr wafanye yao
hiv ukilipa ada zao then bodi ya mikopo wakatoa majina je, ile hela yako ya ada wanakurudishia ama??
Wapigieni simu au tembeleeni ofisi zao kupata muafaka wa swala hili,naona wako kimya site zao hazisemi lolote hasa HESLB mwanzaoni waliambiwa kureport trh 18/10 wakasogeza tena had trh 8/11 nikajua walikua wakishughulikia swala hili kumbe wapi!"Heslb"Guidelines and criteria for student admted to parsue special diploma in education in science and mathematics udom. . Kwa style hii kweli tena wasiwape wadau! Kweli hii Tz
Bdoo. .ila kwenye web ya chuo udom wameongeza majina{third batch}. .bas watoe utaratbu tujue, ila mim jpil nasepa wadau