mikopo kwa inservice.

mikopo kwa inservice.

tenanzinyo

Member
Joined
Dec 28, 2012
Posts
64
Reaction score
23
naombeni hivi ni kweli bodi ya mikopo hawatoi mikopo kwa inservice?naombeni jibu.
 
naombeni hivi ni kweli bodi ya mikopo hawatoi mikopo kwa inservice?naombeni jibu.

umefanya mtihan wa form 6 mwaka gan?kumbuka usiambatanishe vtu vfuatavyo ktambulisho cha kaz,salary slip usiseme kama ww n mwajiriwa utapata,mm nmeanza kaz ualim mwaka 2008 naingia mwaka wa pl nalamba kama milion 3,965,500 sawa na asilimia 90% Ujanja wako ndo utakusaidia...!
 
nimemaliza 2009 na nimeanza kazi mwaka jana ila next year nataka kuomba chuo,sasa c unajua pesa tatizo nilikuwa cjui cha kufanya.nashukuru sana kwa kunifumbua macho.naomba zaidi ushauri wako.
 
Kama ni mwalimu utaweza kupewa.ila kwa kada nyingne,cdhani kama hilo litawezekana.over
 
Back
Top Bottom