Mikopo kwa second round of application........!

Mikopo kwa second round of application........!

chalema06

Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
29
Reaction score
8
ndugu zangu swala la mikopo kwa watakao chaguliwa second round ni ndoto, coz hata mwaka wa jana hakuna aliye pata hata mmja, xo guyz mjipnge kwa hilo.
 
mh,,ila wizara ya elimu jana iliongezewa mkwanja..labda tungojee!!
 
Kwani kujilipia ada mwaka wa kwanza alafu ukaomba mkopo kuanzia mwaka wa pili na kuendelea haiwezekani?
 
kweli ulisemalo kaka, ht mwaka jana second round hawakupata kitu, fact mimi nipo chuo sasa
 
Back
Top Bottom