MIKOPO KWA WAKULIMA NMB

MIKOPO KWA WAKULIMA NMB

fkawogo

Senior Member
Joined
May 30, 2013
Posts
131
Reaction score
37
Wanajukwaa nimeskia kuwa kuanzia tar 15/10/2021 Nmb wataanza kutoa mikopo kwa wakulima wafugaji na wajasilia Mali
Ninachotaka kujua je kwa mfano mkulima na mfugaji ni vigezo (masharti) gani anatakiwa kutimiza ili apewe mkopo huo. Msaada jamani
 
Wanajukwaa nimeskia kuwa kuanzia tar 15/10/2021 Nmb wataanza kutoa mikopo kwa wakulima wafugaji na wajasilia Mali
Ninachotaka kujua je kwa mfano mkulima na mfugaji ni vigezo (masharti) gani anatakiwa kutimiza ili apewe mkopo huo. Msaada jamani
 
Nenda bank ya nmb iliyokaribu nawe utapata maelezo mazur na yaliyonyooka...
 
Mbona hiyo tarehe uliyoandika ktk uzi wako tayari imepita kitambo?
 
Back
Top Bottom