Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
- Thread starter
-
- #21
hakuna fursa ya uagent kama vile wa kutafuta wateja na kulipwa commission?
Mkuu mnatoa mikopo ya leasing kununua assets ? , kama mnatoa condition ni hiyo hiyo ya kuwa na statement ya mwaka ?
Nimeuliza hili swali pia halijajibiwa hapo juu...
Mnatoa mikopo ya kilimo?? Nataka kulima eka 800 za ngano west kilimanjaro. Nahitaji mkopo kuwezesha.
Vigezo vinakuwaje?? Shamba ninalolima nimekodi, sina nyumba, nimepanga.