Second hand
Member
- Jan 20, 2013
- 72
- 6
khaari zenu wana jf! Mwenye ufahamu; hivi kuna uwezekano wa kupata mkopo katika chuo cha mipango dodoma kwa ngazi ya degree? Maana miye niliappy uko ingawa kwenye book guide waliandika non priority!! Kama vp nianze kujipanga. NA mwenye ufahamu anijuze kama kuna uwezo wa kupata ajira! Niliappy BA of finance and investment planning. plz mwenye lolote....!