Kwa hii wimbo ya kuipita Kenya wajitayarishe kufunza vitukuu wao, vile mababu zao waliwafunza. Kwa sahi GDP ya eac (nchi zote za eac) kiujumla ni $220 billion. Kwa hiyo $220 billion, Kenya iko na karibu 50%, ikiwa na $109 billion GDP (Hiyo ingine igawanywe kati ya nchi zilizobaki), kwa hivyo wajitayarishe koo.
Kufikia mwaka 2029 Kenya itakuwa na uchumi kubwa kushinda nchi zote za eac zikiunganishwa.