Tetesi: Mikopo ya 10% ya Halmashauri imegeuka kuwa mikopo ya Wanachama wa CCM

kwani ulikua hujui? we uliona wapi mkopo mpaka wahakiki kadi yako ya uanachama , habari ndio hiyo haiwezekani wezi wagawie hela watu wasio wezi wenzao never
 
Hha sio mikopo tu mpaka baadhi ya fursa ..i
 
kwani ulikua hujui? we uliona wapi mkopo mpaka wahakiki kadi yako ya uanachama , habari ndio hiyo haiwezekani wezi wagawie hela watu wasio wezi wenzao never
Tuna safari ndefu ya mabadiliko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…